Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 26 Desemba 2013

KITUNGUU SWAUMU NI KIUNGO NA NI DAWA YA MARADHI ZAIDI YA 30




Kitunguu swaumu hakikosekani katika kila jiko duniani.Ni mmea maarufu sana kwa tiba.Kitunguu swaumu ni jamii ya yungiyungi.Kitunguu swaumu kilicho bora zaidi duniani ni kinachotoka misri kwasababu ya tabia ya ardhi yake na mto nail.Kitunguu swaumu kina harufu ya kipekee isiyowapendeza watu wengi ingawa kimebeba siri nyingi za tiba.Kwa ajili hiyo maana yake kilatini ni HARUFU ICHOMAYO.
Ili kuepukana na harufu ya kitunguu swaumu baada ya kukila,kula tofaa au tafuna majani mabichi ya naanaa,au kunywa maji yaliyotokosewa karafuu.Kitunguu swaumu kitapoteza nguvu ya tiba iwapo kitapikwa na kila kinapowekwa muda mrefu ndipo nguvu zake huongezeka (baada ya majani yake kukauka kabisa).

Kitunguu swaumu kimekusanya protin 49%,sulphur 25%,kiasi fulani cha chumvi,homoni zitoazo nguvu za kiume,viuaji sumu,vikojozavyo,vitoavyo safura,vinavyoteremsha hedhi,vimeng'enyo vyenye kuyeyusha mafuta na viini vyenye kuua minyoo.Kila utafiti unapoendelea ndipo faida na maajabu ya kitunguu swaumu yanapoongezeka.
BAADHI YA MARADHI YANAYOTIBIWA NA KITUNGUU SWAUMU;
1.Kiua sumu
2.Kisafisha tumbo
3.Kiyeyusha mafuta(cholestro)
4.Huzuia mvilio wa damu
5.Kusafisha njia ya mkojo
6.Kutibu amoeba
7.Kuzuia kuhara damu(Dysentery)
8.Tumbo kushindwa kumeng'enya(Indigestion)
9.Gesi
10.Msokoto wa tumbo
11.Typhoid
12.Kidonda kilichooza
13.Dondakoo
14.Mabaka
15.Baridi yabisi(Rheumatisim)
16.Mishipa
17.Uziwi
18.Virusi vya homa ya mafua(Influenza)
 19.Mafua
20.Saratani(Cancer)
21.Kifaduro
22.Kifua kikuu cha mapafu
23.Kipindupindu
24.Kutoa minyoo
25.Upele
26.Kuvunjavunja mawe katika figo
27.Mba kichwani
28.Kuupa nguvu ubongo
29.Kuupa nguvu fizi
30.Kuzuia meno kung'ooka
31.Nguvu za kiume
32.Maumivu ya kichwa
33.Kizunguzungu/kisunzi
34.Kutuliza maumivu ya meno
35.Kujenga misuli na kutia nguvu
36.Mkakamo wa ateri(Arteriosclerosis)
37.Shinikizo la damu
38.Kinga ya tauni na ukimwi
39.Magonjwa ya macho
MATUMIZI NA MAANDALIZI KATIKA KUTIBU
 Matumizi na maandalizi ya kitunguu swaumu katika tiba yanategemea aina ya maradhi unayotaka kuyatibu,hivyo basi ni muhimu kuwasiliana na wataalamu wa tiba mbadala ili uweze kupata maelekezo sahihi ya namna ya kuandaa kulingana na ugonjwa unaokusumbua.Kumbuka kama tulivyosema awali kuwa kitunguu swaumu kikipikwa kinapoteza nguvu ya tiba kutegemeana na tiba unayokusudia.
Kumbuka pia kwamba kitunguu swaumu huweza kuchanganywa na vitu vingine mfano;maziwa,asali,habatsouda,juisi,shayiri n.k.kutegemea na maradhi unayotaka kuyatibu na kwa ushauri/maelekezo ya daktari.

Maoni 10 :

  1. Safi sana by iraguhaandrew

    JibuFuta
  2. Kweli kabisa. Dawa zimetuzunguka ila hatuzifahamu kuwa ni dawa za kutuponya. Tuombe kuongezewa ufahamu zaidi juu ya mambo haya.

    JibuFuta
  3. Kipo vizur sana !!!! Kwa matibabu ya magonjwa! Mbali mbali kama amoeba nk.

    JibuFuta
  4. Kwa mgonjwa wa amoeba anatumiaje kitunguu swaumi??

    JibuFuta
  5. Kwa mgonjwa wa amoeba anatumiaje kitunguu swaumu

    JibuFuta
  6. Kwamgonjwa wa amiba Tina ipoje?

    JibuFuta
  7. I want every herpes patient to please read my testimony, my name is SARAH MORGAN and I am from California in the USA, I contracted genital herpes from my ex boyfriend who never had any symptoms. I have had it for 4 months now., and it has affected my life. I have told my boyfriends who I trusted about it and I have never had a bad reaction, it has affected my new relationships with Smith and people think herpes is really a minor skin irritation herpes has a long term effects on health. The stigma attached to this virus by ignorant people is ridiculous. Most people have herpes in one form or another. I would like to advise people on how I get rid of my herpes and I was reading a comment on the internet,and I saw a testimony posted by a woman from Germany that she get rid of her herpes with the help of DR AHKIGBE and so I was so happy when I saw that post, that his herbal medication is free and I quickly collected the herbal doctor email and I email him within 3 hr he respond to my email and I explain things to him he told me not to worry that he is going to cure me totally with his herbal medicine he only request for little money that he will use to buy the items for the preparation of the herbal medicine, wish I send to him because the pain was too much for me to bear and after some days he told me that he has prepare the herbal medicine, that I should send him my address that he want to sent it to me via DHL or FED-EX that was how I got the herbal medication and I use it as I was told and after few days I found out that my herpes was no more, i went to hospital for confirmation and it was true really that was how i got my cured. DR AKHIGBE also cure other deadly diseases like,  HIV/AIDS, HERPES, DIABETES,CANCER, ALS, ASTHMA, WEAK BODY,  HEPATITIS A&B, DENGUE FEVER, RABIES, MARBURG  DISEASE, THYROID, ARTHRITIS, MENINGITIS ,LUPUS, EPILEPSY, CHRONIC DISEASE, DICK AND BREAST ENLARGEMENT, MALARIA, BACTERIAL DIARRHEA HEART DISEASE., JOINT PAIN, STOMACH PAIN,  DENGUE SCHIZOPHRENIA, POLIO,MULTIPLES SCLEROSIS, HIGH BLOOD PRESSURE, VAGINAL  DISCHARGE,  CHANCROID, TUBERCULOSIS, ALZHEIMER , PENIS ENLARGEMENT, PARKINSON'S, to get your rid kindly via his email:   drrealakhigbe@gmail.com    contact his number:  +2349010754824           website:  https://drrealakhigbe.weebly.com       you can still write me on Instagram to get more information. on Sarah Morgan 06.

    JibuFuta
  8. Nahitaji dawa niTapataje

    JibuFuta