Tafuta katika Blogu Hii

Jumapili, 16 Februari 2014

MISKI NI DAWA MUJARABU KWA WANAOWAHI WAKATI WA TENDO LA NDOA NA MENGINEYO








-Miski ni mfalme wa aina zote za mafuta mazuri na ni matukufu zaidi.Ni mafuta ambayo hupigiwa mfano mzuri kwa kufadhilishwa kuliko mafuta mengine.
SIFA ZA MISKI;
-Miski hali yake ina joto na inauyabisi katika daraja la pili.
-Ina harufu na ladha yake ni tofauti na mafuta mazuri mengine.Ukitaka kutofautisha miski feki na halisi,ni kwamba katika tiba za kimwili miski feki haiwezi kutibu maradhi maduka mengi yanauza miski feki ambazo sio zile zilizokusudiwa kutuka katika tiba.Ikiwa unahaja ya tiba hakikisha umeata miski asilia.

TIBA ZA MISKI;
1.Huchangamsha na kusafisha mishipa ya fahamu na ubongo.
2.Huongeza hisia,ashiki na ladha za tendo la ndoa kwasababu huzidisha matamanio na joto mwilini
3.Huwasaidia wanawake wasiokuwa na ashki(hisia) na ladha wakati wa tendo la ndoa.Tunayo pia dawa ya ziada ya kuongeza nguvu,hisia na hamu yatendo la ndoa kwa wanawake dawa hii ulizia katika kituo chetu cha lmtm herbal centre.
4.Huwasaidia wanaume wanaowahi kumaliza tendo la ndoa kabla ya mke.Namna ya kutumia wasiliana na wataalam wetu  waliopo katika kituo chetu kilichopo ilaa cha lmtm herbal centre.Kwa ziada ya haya tunazo dawa zingine za kuongeza nguvu za kiume ambazo ni za kunywa na za kuchua kwa kuimarisha na kuipa nguvu mishipa ya dhakal.Dawa hii pia ni mujarab kwa kuchelewesha kuwahi kutoa manii haraka
5.Husaidia wanawake waliomaliza siku zao za hedhi kuondoa harufu mbaya.Pia hupunguza umajimaji na harufu mbaya itokayo ukeni
6.Hukazanisha utupu wa mwanamke na kufanya sehemu hiyo kuwa ndogo

NB:Kufahamu namna ya kutumia miski kama dawa kutibu magonjwa yaliyotajwa hapo juu pamoja na wapi pa kupata miski halisi wasiliana na kituo chetu cha lmtm herbal centre kilichopo ilala mchikichini mtaa wa usangu jijini dar es salaam;
    Simu no;+255776217417,
               fax2email+255736601119
              email;lmtmherbal@rocketmail.com
USIACHE KULIKE PAGE YETU YA LMTM HERBAL CENTRE

Jumanne, 11 Februari 2014

FAIDA ZA PILIPILI KICHAA KIAFYA NA KITIBA

Pilipili kichaa inaweza kustawi sehemu mbalimbali na inahitaji siku 100 za ukuwaji.Hustawi zaidi kwenye mazingira ya joto na unyevunyevu.Mmea huu hukua kufikia urefu wa futi mbili hadi nne.Ina wingi wa vitamini A,pia ina vitamini B,vitamini E,vitamini C,Riboflavin,Potassium na Manganese.
- Jamii nyingi hususa Marekani na bara la Asia wana historia ya kutumia pilipili kichaa kama tiba.Ni dawa yenye nguvu sana na matumizi mengi,hutumika sana kwa kusafisha damu na kutoa sumu mwilini,pia hutumika kusisimua mzunguko wa damu na kuweka sawa uwiano wa tindikali(acid)mwilini.Pilipili kichaa imetumika kwa maradhi tofautitofauti ikiwemo moyo,gauts,kupooza,homa,kikohozi,tonsilatis,kichefuchefu na hemorhoids kwa miaka mingi huko Asia na mashariki ya mbali.

MAAJABU YA PILIPILI KICHAA;
1.Kutibu kidonda-Hii inaweza kuwa ni ajabu kwa walio wengi lakini ni tiba liyothibitishwa na imekuwa ikitumika miaka kadhaa iliyopita katika nchi mbalimbali.Sio tu kuzuia kutokwa na damu katika kidonda cha kujikata kama ilivyozoea kutumiwa na wengi huko majumbani kwa miaka mingi bali pia huzuia fangasi na bakteria kuingia katika uwazi wa kidonda hicho hutumika pia kuondoa sumu mwilini 2.Hufanya mwili kuweza kutumia vyema virutubisho vipatikanavyo kutokana na chakula3.Husaidia uyeyushaji wa mafuta mwilini/Kuchoma mafuta4.Pilipili ina antioxidants muhimu kama beta carotene,ina wingi wa vitamini A,C na K hebu tuziangalie vitamini hizo: a.Vitamini A husaidia kuweka sawa kinga ya mwili pia hutukinga na kansa na magonjwa ya moyob.Kazi ya vitamini C-ni kuzuia strock,magonjwa ya moyo,macho na kansa mbalimbali.Miili ya binadamu haiwezi kujitengenezea vitamini C,hivyo basi tunaweza kupata vitamini C kupitia chakula.c.Vitamini K-Husaidia katika ukuwaji wa mifupa,pia ni muhimu katika mzunguko wa damu.Pilipili zote huwa na Capsaicin ambayo kazi yake ni kupunguza maumivu,kuzuia kansa na magonjwa ya moyo.5.Inasaidia sana kusawazisha sukari kwenye damu6.Huwasaidia watu wanene(over weight) au wanaougua ugonjwa wa kisukari.Hii ni kwa mujibu wa watafiti katika chuo kikuu cha Tasmania uliochapishwa katika American Joarnal of Clinical Neutition mwezi julai 2006.7.Inasaidia kwa kiasi kikubwa kudhibiti kwa kiasi kikubwa INSULIN kwa 60% baada ya kula chakula8.Husaidia kupunguza maumivu na uvimbe kwenye tezi na vilevile huwasaidia wagonjwa wa RHEMATOID na ARTHRITIS kupata nafuu9.Husaidia kuondoa mkusanyiko wa damu sehemu moja mwilini10.Husaidia kufungua kwa haraka na kwa ufanisi pua zilizoziba kwa mafua na kukufanya upumue kwa urahisi.11.Husaidia kupunguza uwezekano wa kupatwa na saratani ya utumbo.
12.Husaidia kuongezeka kiwango cha METABOLIC ambayo husaidia kuchoma mafuta

13.Husaidia kuongezeka kwa kiwango cha METABOLIC kwa 23% ndani ya masaa matatu.14.Husaidia kupunguza cholestro na kupunguza kiasi cha fibrin katika damu. KWA USHAURI,MASWALI;TEMBELEA PAGE YETU YA LMTM HERBAL CENTRE AU KUPITIA EMAIL; lmtmherbal@rocketmail.com,fax2email+255736601119NB:USISAHAU KULIKE PAGE YA LMTM HERBAL CENTRE.