Tafuta katika Blogu Hii

Jumatatu, 12 Januari 2015

PROSTATITIS(TATIZO LA KIBOFU CHA MKOJO)





Tatizo hili watu wengi hulifahamu kama kibofu cha mkojo.PROSTATE-Ni kikokwa kidogo kilichopo chini ya kibofu cha mkojo.Kazi ya prostate ni kutoa majimaji kama maziwa ambayo kazi yake kubwa ni kubeba na kusafirisha mbegu za kiume kupitia njia ya mkojo(urethra)na kwenda kunakohitajika.
Jinsi umri wa mwanaume unavyosonga mbele PROSTATE huongezeka ukubwa(kuvimba).Hali hii husababishwa aidha na upungufu wa LYCOPENE(ambayo hupatikana kwa wingi kwenye nyanya)au maambukizi (infection)au sababu nyinginezo kama maambukizi ya vijidudu (FUNGI).Kuvimba kwa prostate husababisha kugandamiza kwa kibofu cha mkojo kiasi kwamba mkojo kidogo ukiwa ndani ya kibofu mtu hudhani kibofu kimejaa kumbe sio.
DALILI ZA MTU MWENYE PROSTATE NI;
1.Kubanwa na mkojo mara kwa mara
2.Kwenda haja ndogo mara kwa mara usiku
3.Damu kwenye mkojo au kwenye mbegu za kiume
4.Maumivu wakati wa kukojoa
5.Maumivu baada ya kukojoa au wakati mtu anamaliza kukojoa
6.Kushindwa kukojoa
7Maumivu wakati mbegu za kiume zinatoka
8.Maumivu kwenye hipsi,mgongo,nyonga au mapajani
9.Matone ya mkojo kutoka yenyewe au kushindwa kujizuia na kukuta mkojo umetoka
-Mtu mwenye tatizo hili anaweza kujihisi kama amepungukiwa nguvu za kiume(sprerm count)kitu ambacho kwa kiasi kikubwa sio kweli.Hali hii husababishwa na ile hali ya yale majimaji yanayosafirisha mbegu za kiume kutokuwepo kwa kuishia njiani.Hali ikizidi kuwa mbaya huweza kusababisha muathirika kufanyiwa upasuaji kwaajili ya kuondoa prostate hiyo au kusababisha mtu kupata saratani(PROSTATE CANCER)
USHAURI;Wanaume wanashauriwa kuwa na mazoea ya kula nyanya kwa wingi(iliwe bila kupikwa au kuongezewa kitu chochote kama chumvi),papai,zabibu na mapera kama kinga.ukiweza kula nyanya kwa wingi kila siku itakuwa ni vizuri zaidi.
 Hata hivyo habari nzuri ni kuwa katika kituo chetu cha LMTM HERBAL CENTRE tunazo dawa ya LMTM-RUN/4.5.1 na LMTM/S32/J zenye uwezo mkubwa wa kutibu tatizo hili likiwa bado katika hatua za awali.

KWA MASWALI,USHAURI NA TIBA;
MOBL;+255798353434
fax2email+255736601119
email;lmtmherbal@rocketmail.com