Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 4 Januari 2018

ZIJUE DALILI,TIBA NA UGUNDUZI WA UGONJWA WA MAWE KATIKA FIGO{KIDNEY STONES}

Figo ni kiungo muhimu katika mwili wa binadamu,hufanya kazi ya kuchuja damu huku ikiondoa sumu zote mwilini lakini pia figo hufanya kazi ya kurekebisha kiasi cha maji mwilini[electrolyte level].
Kabla damu haijapita katika figo huwa inabeba maji na takataka nyingi sana[urea],lakini inapopita katika figo huchujwa na vitu muhimu hurudishwa katika mzunguko wa damu na masalia mengine ambayo hayafai tena katika mwili ikiwa nakiwango cha maji kilichozidi hupitishwa kwenye mirija miwili [ureters]kuelekea kwenye kibofu [urinary bladder] na kisha kutolewa nje ya mwili kupitia njia ya mkojo[urethra].
  Mkusanyiko wa kemikali hizi[chemical crystals]wakati mwingine hugandamana na kutengeneza chembechembe ya vitu kama mchanga,kadri siku zinavyozidi kuendelea ndivyo vinavyozidi kukua hadi wengine hufikia hatua ya kuziba njia za mikojo katika figo yenyewe[nephrone]au kwenye mirija ya kupeleka mkojo kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu.Hapa ndipo mtu anaanza kupata shida ya kukojoa na kuskia maumivu makali.


  SABABU ZA KUPATA MAWE KATIKA FIGO[KIDNEY STONES]
-Matumizi ya baadhi ya dawa(medicines),kuna baadhi ya dawa husababisha mtu kupata mawe katika figo pindi anapozitumia kila wakati dawa hizo ni kama vile za kutibu cCANCER na HIV.Antibiotic kama ciprofloxacin(cipro) na ,ceftriaxone(rocephin).
-Utumiaji kwa wingi wa vyakula vyenye kuongeza vitamin A na D,ambavyo huongeza kwa kiasi kikubwa madini joto(calcium) mwilini.
-Mazingira,ikiwa mtu anaishi kwenye mazingira ya joto sana halafu anapaa kiasi kidogo cha maji husababisha kiasi cha kemikali kuongezeka zaidi katika figo na hivyomwisho wa siku zinagandamana na kuletekeza mawe ndani ya figo.
-Viambukizi katika figo endapo mtu alipata yoyote viambukizi vya magonjwa ya figo kama vile (renal tubula acidosis e.t.c)huwa yupo katika hatari kubwa ya kupata tatizo hili.
-Kurithi,tatizo hili la mawe katika figo linaweza kuwa la kurithi ambapo mtu anarithi kutoka kwa wazazi wake ,yaani wanakuwa na homoni[antiduretic hormone]zisizoweza kufanya kazi ya kuchuja damu kikamilifu na mwishowe kutengeneza mawe kwenye figo.
-Utumiaji wa vyakula ,utumiaji wa vyakula vyenye protin zinazotokana na wanyama [animal protiens] na chumvi nyingi [salts] huongeza hatari ya kupata tatizo hili
-unene kupita kiasi[obesity]

   DALILI ZA UWEPO WA MAWE KATIKA FIGO
Mtu mwenye tatizo la mawe kwenye figo huonyesha dalili zifuatazo;
1.Maumivu ya mgongo na kiuno
2.Mkojo kutoka ukiwa na rangi ya damu
3.Kutokwa na jasho wakati wa usiku hata kama kuna baridi
4.Kupatwa na homa kali kwa wakati fulani ikiambatana na kutetemeka mwili
5.Kuhisi kicheefuchefu na kutapika
6.Mkojo kuwa na harufu kali
7.Maumivu makali sehemu za mbavu
8.Miguu kujaa maji[kuvimba]

 UCHUNGUZI WA TATIZO LA FIGO
-Mgonjwa hufanyiwa x-ray auscan ili kujua kama ana mawe katika figo
-vipimo vya damu[blood test]
-vipimo vya mkojo[urinarysis]

 TIBA YA TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO
Ikiwa mgonjwa atagundlika kuwa na tatizo hili hufanyiwa yafuatayo;
a.Extracorporeal shock wave lithotripys(ESWL) hii ni mionzi huelekezwa katika figo ili kuyeyusha mawe (kemikali au sumu zilizogandamana) ambazo huvunjwavunjwa na hii mionzi kisha mgonjwa hukojoa vipandevipande.
b.Percutaneous Nephrolithotomy(PCNL),Hiki ni kifaa chenye mwanga na kamera ambacho huingizwa kwenye kokwa la figo (nephrone) kisha kuvunjaavunja hayo mawe.
c.Ureteroscopy,hiki ni kifaa kingine tena ambacho huingizwa kwenye mrija wa kupitisha mkojo kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu ,kuna baadhi ya mawe hukwama kwenye mirija hii na kuzuia mkojo kutoka ,hivyo kifaa hiki huvunja hayo mawe.
d.Stone Removal,hapa sasa mgonjwa anafanyiwa upasuaji (operation)ili kuweza kutoa mawe moja kwa moja.


NB;Kufanya tiba hizi zote ndani yake kuna madhara mengine huzalishwa ila sasa unaumwa inabidi ufanyiwe ,ila sasa kabla hujaendea tiba hatarishi kama hizo tunapenda kuwajulisha kuwa LMTM HERBAL CENTRE inazo dawa zenye uwezo wa kuyeyusha kemikali na mafuta yaliyogandamana katika figo na kuzibua mirija iliyoziba na kurudisha mtiririko wa mkojo kufanyika kama inavyotakiwa .Usisite kuwasiliana nasi  kwa ushauri au tiba kupitia ;

mobl:+255776 217417/+255798 353434/+255717 150110 au
email:lmtmherbal@rocketmail.com

Jumatano, 3 Januari 2018

GARLIC IN MILK BENEFITS


DO U KNOW THAT THERE ARE SEVERAL DISEASES WHICH CAN BE CURED BY GARLIC AND MILK??  HERE IS SOME OF THEM:;

-ASTHMA
-PNEUMONIA
-TUBERCULOSIS
-CARDIACPROBLEMS
-INAOMNIA
-ARTHRITIS
-COUGH
-JAUNDICE
-CHOLESTEROL
-DIGESTIVE SYSTEM
-IMPOTENCE AND SCIATICA....
-HEART ISSUES

NB;IF YOU WILL NEED TO KNOW HOW TO PREPARE IT TO CURE ANY OF THOSE HEALTH PROBLEM CONTACT US THROUGH +255776217417 OR +255717150110/+255798353434

Jumanne, 6 Septemba 2016

HUDUMA YA KWANZA YA JINSI YA KUOKOA MAISHA YA MTU ALIYEPATA STROKE







  Mtu anapopatwa na stroke ni kwamba-vishipa vidogo viitwavyo kitaalam  CAPILLARIES za ubongo kupasuka.Ubongo unakuwa haupati oxygen ya kutosha na kusababisha cells za ubomgo kufa au kukauka hivyo basi huhitaji msaada wa haraka wa kimatibabu .

  NJIA ZA KUPITIA ILI KUOKOA MAISHA YA ALIYEPATA STROKE;
1)Kwanza ni muhimu kutulia/kupanik wala usimsogeze mgonjwa aliyepatwa na stroke.Unachotakiwa kuwa nacho ni sindano na ni vyema kuwa na sindano ya hospitali ila kama huna waweza kutumia sindano ya kawaida.
2)Kama unatumia sindano ya kawaida ni muhimu uhakikishe inakuwa salama ,unaweza pia kusterilize kwa kutumia stove au moto wa mshumaa.
3)Chukua vidole vyote 10 vya mikono karibu na ukucha na toboa haraka iwezekanavyo.
4)Subiri damu ianze kutoka na kama damu haitokibana au minya ili kufanya damu itoke.
5)Damu ikianza kutoka katika vidole vyote mgonjwa ataanza kuzinduka
6)Kama mgonjwa amepinda mdomo upande mmoja chua masikio sehemu laini isiyo na mfupa ambayo hutobolewa na kuwekwa hereni mpaka ibadilike rangi na kuwa nyekundu ili kurahisisha damu kutembea(flow)
7)Choma au toboa sehemu hiyo laini(ear lobe)mara mbili hadi matone mawili ya damu yatoke
8)Baada ya dakika chache baadae mdomo utarudi katika hali yake ya kawaida.
9)Subiri kidogo hadi mgonjwa apate fahamu zake kamili kisha mchukuwe na kumpeleka hospitalini na daktari ataanzia hapo.

-Hii ni njia ya tiba ya asili iliyokuwa ikitumiwa na wachina karne nyingi zilizopita.Wanasema njia hiini salama asilimia100% na itakusaidia kunusuru maisha kutokana na stroke.

Ijumaa, 10 Juni 2016

YAJUE MAGONJWA YANAYOWEZA KUTIBIWA KWA KUTUMIA KITUNGUU MAJI







YAFUATAYO NI MAGONJWA YANAYOWEZA KUTIBIWA KWA KITUNGUU MAJI;
  1)Kifaduro
  2)Pumu
  3)Uvimbe wa mapafu
  4)Tezikibofu
  5)Kukojoa kwa maumivu
  6)Kutia nguvu na nishati
  7)Nguvu za kiume
  8)Maradhi ya kinafsi
  9)Saratani
10)Baridi yabisi
11)Mvilio wa damu
12)Kuunga mivunjiko na kupunguza maumivu
13)Vidonda vya saratani
14)Majipu
15)Sugu/chunjua
16)Vidonda vilivyooza
17)Vidole kuvimba siku za kusi
18)Maumivu ya kichwa
19)Chunusi
20)Ukurutu
21)Saratani ya ngozi
22)Magonjwa ya figo na vijiwe
23)Jongo
24)Kikohozi kwa wakubwa na watoto
25)Kuisafisha damu na mwili kutokana na chumvi
26)Kisukari
27)Donda kuu
28)Mafindofindo
29)Maradhi ya masikio
30)Wengu
31)Kunyonyoka nywele
32)Chawa na mayai yake
33)Kipanda uso[maumivu ya nusu kichwa]
34)Kisunzi/kizunguzungu
35)Maradhi ya macho
36)Maji meupe jichoni
37)Kupunguza uzani
38)Mafua
39)Homo ya mafua
40)Kikohozi
41)Tumbo kushindwa kumengenya
42)Kuondoa gesi(tumboni)
43)Kufunga choo
44)Msokoto wa figo
45)Kuhara
46)Kutoa minyoo
47)Kutia nguvu na nishati

NB;UKITAKA KUFAHAMU NAMNA YA KUTIBUU MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUTUMIA KITUNGUUMAJI WASILIANA NASI/TUANDIKIE KUPITIA;
Mobl:+255776 217417/+255789 353434
fax2email+255736 601119
email:lmtmherbal@rocketmail.com

Jumatano, 8 Juni 2016

JE WAJUA ASALI INAWEZA KUTIBU MAGONJWA MBALIMBALI??HAPA INAKULETEA MAGONJWA YANAYOWEZA KUTIBIWA KWA KUTUMIA ASALI;






MAGONJWA YANAYOTIBIWA KWA KUTUMIA ASALI
 1.Kujikuna 
 2.Uzuri wa uso
 3.Jeraha(Kidonda)
 4.Kuungua
 5.Kuua chawa na mayai yake
 6.Kukosa usingizi
 7.Maradhi ya kinafsi na wazimu
 8.Kifafa
 9.Magonjwa yote ya macho
10.Asidi/kiungulia
11.Kuhara/tumbo la kuendesha
12.Kufunga choo
13.Kutapika
14.Kidonda
15.Maradhi ya kifua
16.Kutibu harufu mbaya ya mdomo
17.Kupotewa na sauti
18.Homa ya mafua
19.Malengelenge kwenye ngozi
20.Maumivu ya fizi na kuyapa nguvu meno
21.Vena iliyovimba
22.KIdonda kilichooza
23.Kidonda kisichopona
24.Kifua kikuu cha mapafu
25.Kuupa nguvu msuli wa moyo
26.Kutibu uvimbe na tishu za msuli na kwenye moyo na kutetemeka
27.Moyo kubana
28.Uvimbe wa mdomoni na ulimi kufura
29.Maradhi ya masikio na maumivu yake
30.Baridi yabisi
31.Jongo
32.Sugu/chunjua
33.Magonjwa yote ya ini
34.Kutia nguvu,nishati na ujana
35.Maradhi ya wanawake na uzazi
36.Nguvu za kiume
37.Utasa/ugumba
38.Saratani
39.Ukoma
40.Kinga ya sumu
41.Tezi kibofu n.k

-Ukitaka kujua jinsi ya kutumia kulingana na maradhi yeyote kati ya hayo hapo juu wasiliana nasi kupitia;
mobl;+255776 217417/+255798 353434 
email;lmtmherbal@rocketmail.com

Ijumaa, 15 Aprili 2016

FANGASI SUGU SEHEMU ZA SIRI NA NAMNA YA KUKABILIANA NAYO;

 




 Idadi kubwa ya watu wanasumbuliwa na tatizo la kuwashwa sehemu za siri bila kujali jinsia na umri.Tatizo hili laweza kusababishwa na matatizo mbalimbali lakini kubwa ni fangasi.
   Watu wanapaswa kufahamu kuwashwa sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani ndani ya mwili kama vile mzio,matatizo ya ngozi au sumu ya mimea au wadudu ambao wanakawaida hiyo.
Mara nyingi muwasho sehemu za siri unaosababishwa na kitu huisha wenyewe au muda mfupi baada ya kitu hicho kikiondolewa.Kuondolewa kwa kitu hicho kunakuwa ni matibabu sahihi na kuendelea na njia bora za kujikinga kutopata maambukizi tena.
Vitu vingine vinavyosababisha muwasho huhitaji matibabu.
  Ikiwa unawashwa kwa muda mrefu ni vyema kuzungumza na daktari.Kukaa na ugonjwa kwa muda mrefu kunaweza sababisha ugonjwa kusambaa mwilini na kuongeza hatari ya kifo.

  KISABABISHI;
   Kuwashwa uume au sehemu zingine za siri za mwanaume husababishwa na sababu zilezile zinazosababisha muwasho sehemu zingine za mwili.Maradhi ya fangasi husababisha muwasho kwa wanaume wengi ,sababu zingine ni kama ugonjwa wa upele,kuwepo kwa chawa,mzio na maambukizi mengine ya bakteria.Maambukizi hasa ya magonjwa ya zinaa ndio chanzo cha kuwashwa uume.

  FANGASI SEHEMU ZA SIRI;
   Maradhi ya fangasi(Candidiasis)husababishwa na vimelea viitwavyo Candida albicans.Vimelea hivi hushambulia jinsia zote ingawa hushambulia zaidi jinsia ya kike kutokana na maumbile yao na hali ya kuwa na unyevunyevu mara nyingi.Mazingira hayo husababisha fangasi kumea vizuri.Watu wengi wana vimelea hivi katika miili yao kwa kiwango kidogo.Kinga ya mwili ikisaidiwa na bakteria walinzi wa mwili huweza kupambana na vimelea hivi.
   Mtu anapokunywa dawa za kuua bakteria kutokana na ugonjwa mwingine wa bakteria kama kuhara damu,husababisha bakteria walinzi wa mwili kufa hivyo kuongeza hatari ya mwili kushambuliwa na ugonjwa wa fangasi.Ikiwa kinga ya mwili itashuka kutokana na maradhi kama VVU au lishe duni mwili utakuwa katika hatari zaidi ya kupata maradhi ya fangasi.
   Hata hivyo maradhi ya fangasi yanaweza kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa kuchangia nguo au vifaa vya kuogea na kujamiiana na mwathirika.Wanaume wengi wanasumbukiwa na fangasi sehemu za siri huishi maeneo yenye joto sana kama pwani,lindi,Mtwara,Tanga na Dar es Salaam.
  Kuishi sehemu yenye joto pamoja na kuvaa nguo za kubana hasa zisizotengenezwa na pamba kwa asilimia 100kunafanya sehemu za siri kuwa na unyevunyevu hivyo kutengeneza mazingira mazuri kwa fangasi kuzaliana na kuongezeka.

DALILI ZA FANGASI SEHEMU ZA SIRI;
   Sehemu za siri mara nyingi hutumiwa kama maficho ya fangasi.Hizi ni kama vile uume,korodani,katika mapaja,uke,na sehemu za katikati ya makalio.Wakati mwingine fangasi husambaa hadi kwenye mapaja.Kwa wanaume fangasi huweza kusababisha sehemu za siri za mwanaume kubadilika na kuwa nyekundu na hata kuwasha.
Ngozi inayozunguka sehemu hizo huwasha ,kukakamaa na kutoa majimaji ambayo hutoa harufu mbaya.

  MATIBABU YA FANGASI;
   Ikiwa una dalili za ugonjwa wa fangasi ni vyema kufika kwa daktari kwa ajili ya matibabu na ushauri zaidi.Kutumia dawa bila ushauri wa daktari kunaweza kusababisha kutopona kabisa ,kutopona vizuri au ugonjwa kujirudia baada ya siku chache.Vimelea pia vinaweza kujenga usugu wa dawa.
Kumwona daktari kutasaidia kujua kama una maradhi mengine yanayosababisha upate fangasi sehemu za siri.Ugonjwa wa fangasi usipotibiwa husambaa kwenye damu na kusababisha madhara makubwa mwilini kama kwenye ubongo na mapafu.

Katika kituo chetu cha LMTM HERBAL CENTRE tunayo dawa iitwayo LMTM/PA19/NA ambayo ni ya kupaka yenye uwezo wa kutibu magonjwa mbalimbali ikiwemo fangasi sugu sehemu za siri.Baadhi ya magonjwa mengine yanayotibiwa na dawa hii ni pamoja na;saratani ya ngozi,vidonda vibichi,vidonda visivyopona kwa namna yeyote ile,bawasiri,majipu,vimbe mbalimbali,maumivu ya magoti kwa kuchua,nywele kukatika,mabaka na michirizi mwilini,kucha kung'ooka kwaajili ya fangasi kuota tena(ni nzuri sana kwa watu wenye ulemavu wa ngozi),mba....n.k
LMTM/PA19/NA

Kwa wale ambao ugonjwa wa fangasi umetapakaa mwili mzima ikiwa ni pamoja na kuenea kwenye damu tunayo dawa iitwayo LMTM/J19 ambayo ni yakunywa inayotibu fangasi zote pamoja na magonjwa mengine yaliyo ndani ya damu.Baadhi ya magonjwa hayo ni;fangasi ya njia ya chakula,saratani ya koo,saratani ya utumbo,saratani ya njia ya haja kubwa,minyoo,mzio,kufunga choo,vidonda vya tumbo,magonjwa ya zinaa(uti,kisonono nk)

 JINSI YA KUJIKINGA;
  Ili kusaidia kuepuka kupatwa na fangasi sehemu za siri ni vyema kuosha vizuri.Kwa wale wanaume ambao hawajatahiriwa wanapaswa kuosha kwa umakini zaidi hadi sehemu za ndani a govi.kwa kifupi ni vizuri sehemu za siri kubaki wakati wote katika hali ya usafi na ukavu,kwa maana ya kutokuwa na unyevunyevu unaweza kusababisha maambukizi.
Matumizi ya poda maalum yanaruhusiwa hasa kipindi cha joto kali ili kuzuia unyevunyevu.Vaa nguo isiyobana ,iliyotengenezwa kwa vitu asilia kama pamba.Badili nguo ya ndani angalau kila siku na tumia kinga pale unapokutana kimwili na mtu ambaye hujui hali yake kiafya.

MAWASILIANO;
EMAIL;lmtmherbal@rocketmail.com
mobl;0798353434

TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA JINSI YA KUKABILIANA NALO

 




Waathirika hawa wamekuwa wakipoteza fedha nyingi na mara nyingine hujikuta wakiingia katika matatizo makubwa ya kiuchumi baada ya kukutana na vipeperushi au matangazo ya dawa za kuongeza nguvu za kiume .
Wengi hujikuta wakitapeliwa na waganga feki ambao wamejaa mjini na vijijini.Katika mitaa utaona mabango mengi ya waganga wa kienyeji wasio na sifa wala usajili wakijitangaza kuwa na dawa za kuongeza nguvu za kiume.
  Mara nyingi dawa hizo siyo za kutatua tatizo bali ni kutafuta nguvu za muda.Kukurupuka na kutumia dawa za kuongeza nguvu za kiume kiholela ni hatari kwani nyingi ndio chanzo cha kuumiza mwili na kuathiri viungo kama figo.
  Tendo la uume kuwa na nguvu na kuweza kusimama kina mtiririko wa matukio mengi ya kimwili na huwa ni hatua moja kwenda nyingine.Kitendo cha kusimama kinahusisha mfumo wa fahamu kama ubongo,uti wa mgongo na mishipa ya fahamu,mfumo wa damu ambao ni moyo,damu na mishipa na mfumo wa tezi zinazomwaga vichocheo kama homoni.
  Zipo kemikali nyingi za kibaiolojia za mwilini zikiwamo protini,virutubisho na vitamini mbalimbali tunavyopata katika lishe ,husaidia pia katika tendo hili.
Kwa kawaida sehemu za uzazi wa kiume huwa na misuli laini kama sponji ambayo huwa na mishipa midogo mingi ambayo imejikunja kunja kama mizizi ya mmea.
   Wakati wa kusimama damu iliyosafi humiminika kupitia mishipa ya ateri ambayo hutanuka kuruhusu damu ya kutosha kupita kwenda katika misuli laini kama sponji ambayo huwa imetulia kuruhusu damu kuingia katika mishipa hiyo.Wakati huohuo ile mishipa inayotoa damu chafu kurudi kusafishwa yaani  vein ,huwa zimebanwa ili damu hiyo isitoke katika misuli laini ya uume.
  Mchepuko wa kupata hisia za kujamiiana  ni kituo kilichopo ndani ya uti wa mgongo ,ni matokeo ya eneo la uzazi sehemu ya kiume kusisimuliwa.
Baadhi ya mambo yanayosababisha mtu kukosa nguvu za kiume ni magonjwa kama vile;
-Kisukari
-Maradhi ya mishipa ya damu
-Shinikizo la damu

-Uwapo wa maradhi ya kisukari kisichodhibitiwa kwa muda mrefu huweza kusababisha mishipa inayopeleka damu katika uume kuharibika.Sukari iliyo juu huiharibu mishipa hii ya damu na kuifanya iwe migumu.

-Shinikizo la damu likiwa kali mara kwa mara huweza kuleta uharibifu katika mishipa ya damu ambayo ni midogo iliyotanda kwa wingi katika uume.

  Mambo mengine ni;
-Utumiaji wa tumbaku,
-Uvutaji sigara,
-Ulevi uliopindukia,
-Utumiaji wa madawa ya kulevya.
 Vitu hivyo pia huweza kuharibu mishipa ya damu katika uume.

   Mambo mengine ni magonjwa ya tezi ya koo inayotoa homoni za ukuaji mwili na kutengeneza kidogo kwa homoni muhimu ya kiume ambayo ni Testosterone.
Maradhi mengine ni ugonjwa wa kutetemeka ,unene na uzito kupita kiasi,ugonjwa wa akili na matibabu ya muda mrefu ya saratani ya tezi dume.
   Tatizo la nguvu za kiume linaweza kutibiwa kwa matibabu mbalimbali baada ya kufanyiwa uchunguzi yakinifu.
Baada ya uchunguzi daktari anaweza kukupatia dawa au kukupa maagizo kama vile kufanya mazoezi ,kula vyakula fulanina kubadili mitindo kadhaa ya kimaisha.Kama tatizo litakuwa linasababishwa na magonjwa mengine dqaktari anaweza akaanza kutibu magonjwa hayo na afya yako kurejea upya vizuri.

 Hatahivyo kwa wale ambao hawana matatizo mengine yoyote ila nguvu zao zimepungua LMTM HERBAL CENTRE tunazo dawa aina mbalimbali za mimea zenye uwezo wa kutatua nguvu za kiume kwa kiwango cha juu.
Moja ya madawa hayo ni LMTM/fg/olv.


KWA MAWASILIANO ZAIDI;
lmtmherbal@rocketmail.com
mobl:0798353434