Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 4 Januari 2018

ZIJUE DALILI,TIBA NA UGUNDUZI WA UGONJWA WA MAWE KATIKA FIGO{KIDNEY STONES}

Figo ni kiungo muhimu katika mwili wa binadamu,hufanya kazi ya kuchuja damu huku ikiondoa sumu zote mwilini lakini pia figo hufanya kazi ya kurekebisha kiasi cha maji mwilini[electrolyte level].
Kabla damu haijapita katika figo huwa inabeba maji na takataka nyingi sana[urea],lakini inapopita katika figo huchujwa na vitu muhimu hurudishwa katika mzunguko wa damu na masalia mengine ambayo hayafai tena katika mwili ikiwa nakiwango cha maji kilichozidi hupitishwa kwenye mirija miwili [ureters]kuelekea kwenye kibofu [urinary bladder] na kisha kutolewa nje ya mwili kupitia njia ya mkojo[urethra].
  Mkusanyiko wa kemikali hizi[chemical crystals]wakati mwingine hugandamana na kutengeneza chembechembe ya vitu kama mchanga,kadri siku zinavyozidi kuendelea ndivyo vinavyozidi kukua hadi wengine hufikia hatua ya kuziba njia za mikojo katika figo yenyewe[nephrone]au kwenye mirija ya kupeleka mkojo kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu.Hapa ndipo mtu anaanza kupata shida ya kukojoa na kuskia maumivu makali.


  SABABU ZA KUPATA MAWE KATIKA FIGO[KIDNEY STONES]
-Matumizi ya baadhi ya dawa(medicines),kuna baadhi ya dawa husababisha mtu kupata mawe katika figo pindi anapozitumia kila wakati dawa hizo ni kama vile za kutibu cCANCER na HIV.Antibiotic kama ciprofloxacin(cipro) na ,ceftriaxone(rocephin).
-Utumiaji kwa wingi wa vyakula vyenye kuongeza vitamin A na D,ambavyo huongeza kwa kiasi kikubwa madini joto(calcium) mwilini.
-Mazingira,ikiwa mtu anaishi kwenye mazingira ya joto sana halafu anapaa kiasi kidogo cha maji husababisha kiasi cha kemikali kuongezeka zaidi katika figo na hivyomwisho wa siku zinagandamana na kuletekeza mawe ndani ya figo.
-Viambukizi katika figo endapo mtu alipata yoyote viambukizi vya magonjwa ya figo kama vile (renal tubula acidosis e.t.c)huwa yupo katika hatari kubwa ya kupata tatizo hili.
-Kurithi,tatizo hili la mawe katika figo linaweza kuwa la kurithi ambapo mtu anarithi kutoka kwa wazazi wake ,yaani wanakuwa na homoni[antiduretic hormone]zisizoweza kufanya kazi ya kuchuja damu kikamilifu na mwishowe kutengeneza mawe kwenye figo.
-Utumiaji wa vyakula ,utumiaji wa vyakula vyenye protin zinazotokana na wanyama [animal protiens] na chumvi nyingi [salts] huongeza hatari ya kupata tatizo hili
-unene kupita kiasi[obesity]

   DALILI ZA UWEPO WA MAWE KATIKA FIGO
Mtu mwenye tatizo la mawe kwenye figo huonyesha dalili zifuatazo;
1.Maumivu ya mgongo na kiuno
2.Mkojo kutoka ukiwa na rangi ya damu
3.Kutokwa na jasho wakati wa usiku hata kama kuna baridi
4.Kupatwa na homa kali kwa wakati fulani ikiambatana na kutetemeka mwili
5.Kuhisi kicheefuchefu na kutapika
6.Mkojo kuwa na harufu kali
7.Maumivu makali sehemu za mbavu
8.Miguu kujaa maji[kuvimba]

 UCHUNGUZI WA TATIZO LA FIGO
-Mgonjwa hufanyiwa x-ray auscan ili kujua kama ana mawe katika figo
-vipimo vya damu[blood test]
-vipimo vya mkojo[urinarysis]

 TIBA YA TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO
Ikiwa mgonjwa atagundlika kuwa na tatizo hili hufanyiwa yafuatayo;
a.Extracorporeal shock wave lithotripys(ESWL) hii ni mionzi huelekezwa katika figo ili kuyeyusha mawe (kemikali au sumu zilizogandamana) ambazo huvunjwavunjwa na hii mionzi kisha mgonjwa hukojoa vipandevipande.
b.Percutaneous Nephrolithotomy(PCNL),Hiki ni kifaa chenye mwanga na kamera ambacho huingizwa kwenye kokwa la figo (nephrone) kisha kuvunjaavunja hayo mawe.
c.Ureteroscopy,hiki ni kifaa kingine tena ambacho huingizwa kwenye mrija wa kupitisha mkojo kutoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu ,kuna baadhi ya mawe hukwama kwenye mirija hii na kuzuia mkojo kutoka ,hivyo kifaa hiki huvunja hayo mawe.
d.Stone Removal,hapa sasa mgonjwa anafanyiwa upasuaji (operation)ili kuweza kutoa mawe moja kwa moja.


NB;Kufanya tiba hizi zote ndani yake kuna madhara mengine huzalishwa ila sasa unaumwa inabidi ufanyiwe ,ila sasa kabla hujaendea tiba hatarishi kama hizo tunapenda kuwajulisha kuwa LMTM HERBAL CENTRE inazo dawa zenye uwezo wa kuyeyusha kemikali na mafuta yaliyogandamana katika figo na kuzibua mirija iliyoziba na kurudisha mtiririko wa mkojo kufanyika kama inavyotakiwa .Usisite kuwasiliana nasi  kwa ushauri au tiba kupitia ;

mobl:+255776 217417/+255798 353434/+255717 150110 au
email:lmtmherbal@rocketmail.com

Jumatano, 3 Januari 2018

GARLIC IN MILK BENEFITS


DO U KNOW THAT THERE ARE SEVERAL DISEASES WHICH CAN BE CURED BY GARLIC AND MILK??  HERE IS SOME OF THEM:;

-ASTHMA
-PNEUMONIA
-TUBERCULOSIS
-CARDIACPROBLEMS
-INAOMNIA
-ARTHRITIS
-COUGH
-JAUNDICE
-CHOLESTEROL
-DIGESTIVE SYSTEM
-IMPOTENCE AND SCIATICA....
-HEART ISSUES

NB;IF YOU WILL NEED TO KNOW HOW TO PREPARE IT TO CURE ANY OF THOSE HEALTH PROBLEM CONTACT US THROUGH +255776217417 OR +255717150110/+255798353434