Tafuta katika Blogu Hii

Jumanne, 6 Septemba 2016

HUDUMA YA KWANZA YA JINSI YA KUOKOA MAISHA YA MTU ALIYEPATA STROKE







  Mtu anapopatwa na stroke ni kwamba-vishipa vidogo viitwavyo kitaalam  CAPILLARIES za ubongo kupasuka.Ubongo unakuwa haupati oxygen ya kutosha na kusababisha cells za ubomgo kufa au kukauka hivyo basi huhitaji msaada wa haraka wa kimatibabu .

  NJIA ZA KUPITIA ILI KUOKOA MAISHA YA ALIYEPATA STROKE;
1)Kwanza ni muhimu kutulia/kupanik wala usimsogeze mgonjwa aliyepatwa na stroke.Unachotakiwa kuwa nacho ni sindano na ni vyema kuwa na sindano ya hospitali ila kama huna waweza kutumia sindano ya kawaida.
2)Kama unatumia sindano ya kawaida ni muhimu uhakikishe inakuwa salama ,unaweza pia kusterilize kwa kutumia stove au moto wa mshumaa.
3)Chukua vidole vyote 10 vya mikono karibu na ukucha na toboa haraka iwezekanavyo.
4)Subiri damu ianze kutoka na kama damu haitokibana au minya ili kufanya damu itoke.
5)Damu ikianza kutoka katika vidole vyote mgonjwa ataanza kuzinduka
6)Kama mgonjwa amepinda mdomo upande mmoja chua masikio sehemu laini isiyo na mfupa ambayo hutobolewa na kuwekwa hereni mpaka ibadilike rangi na kuwa nyekundu ili kurahisisha damu kutembea(flow)
7)Choma au toboa sehemu hiyo laini(ear lobe)mara mbili hadi matone mawili ya damu yatoke
8)Baada ya dakika chache baadae mdomo utarudi katika hali yake ya kawaida.
9)Subiri kidogo hadi mgonjwa apate fahamu zake kamili kisha mchukuwe na kumpeleka hospitalini na daktari ataanzia hapo.

-Hii ni njia ya tiba ya asili iliyokuwa ikitumiwa na wachina karne nyingi zilizopita.Wanasema njia hiini salama asilimia100% na itakusaidia kunusuru maisha kutokana na stroke.