Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 26 Desemba 2013

KITUNGUU SWAUMU NI KIUNGO NA NI DAWA YA MARADHI ZAIDI YA 30




Kitunguu swaumu hakikosekani katika kila jiko duniani.Ni mmea maarufu sana kwa tiba.Kitunguu swaumu ni jamii ya yungiyungi.Kitunguu swaumu kilicho bora zaidi duniani ni kinachotoka misri kwasababu ya tabia ya ardhi yake na mto nail.Kitunguu swaumu kina harufu ya kipekee isiyowapendeza watu wengi ingawa kimebeba siri nyingi za tiba.Kwa ajili hiyo maana yake kilatini ni HARUFU ICHOMAYO.
Ili kuepukana na harufu ya kitunguu swaumu baada ya kukila,kula tofaa au tafuna majani mabichi ya naanaa,au kunywa maji yaliyotokosewa karafuu.Kitunguu swaumu kitapoteza nguvu ya tiba iwapo kitapikwa na kila kinapowekwa muda mrefu ndipo nguvu zake huongezeka (baada ya majani yake kukauka kabisa).

Kitunguu swaumu kimekusanya protin 49%,sulphur 25%,kiasi fulani cha chumvi,homoni zitoazo nguvu za kiume,viuaji sumu,vikojozavyo,vitoavyo safura,vinavyoteremsha hedhi,vimeng'enyo vyenye kuyeyusha mafuta na viini vyenye kuua minyoo.Kila utafiti unapoendelea ndipo faida na maajabu ya kitunguu swaumu yanapoongezeka.
BAADHI YA MARADHI YANAYOTIBIWA NA KITUNGUU SWAUMU;
1.Kiua sumu
2.Kisafisha tumbo
3.Kiyeyusha mafuta(cholestro)
4.Huzuia mvilio wa damu
5.Kusafisha njia ya mkojo
6.Kutibu amoeba
7.Kuzuia kuhara damu(Dysentery)
8.Tumbo kushindwa kumeng'enya(Indigestion)
9.Gesi
10.Msokoto wa tumbo
11.Typhoid
12.Kidonda kilichooza
13.Dondakoo
14.Mabaka
15.Baridi yabisi(Rheumatisim)
16.Mishipa
17.Uziwi
18.Virusi vya homa ya mafua(Influenza)
 19.Mafua
20.Saratani(Cancer)
21.Kifaduro
22.Kifua kikuu cha mapafu
23.Kipindupindu
24.Kutoa minyoo
25.Upele
26.Kuvunjavunja mawe katika figo
27.Mba kichwani
28.Kuupa nguvu ubongo
29.Kuupa nguvu fizi
30.Kuzuia meno kung'ooka
31.Nguvu za kiume
32.Maumivu ya kichwa
33.Kizunguzungu/kisunzi
34.Kutuliza maumivu ya meno
35.Kujenga misuli na kutia nguvu
36.Mkakamo wa ateri(Arteriosclerosis)
37.Shinikizo la damu
38.Kinga ya tauni na ukimwi
39.Magonjwa ya macho
MATUMIZI NA MAANDALIZI KATIKA KUTIBU
 Matumizi na maandalizi ya kitunguu swaumu katika tiba yanategemea aina ya maradhi unayotaka kuyatibu,hivyo basi ni muhimu kuwasiliana na wataalamu wa tiba mbadala ili uweze kupata maelekezo sahihi ya namna ya kuandaa kulingana na ugonjwa unaokusumbua.Kumbuka kama tulivyosema awali kuwa kitunguu swaumu kikipikwa kinapoteza nguvu ya tiba kutegemeana na tiba unayokusudia.
Kumbuka pia kwamba kitunguu swaumu huweza kuchanganywa na vitu vingine mfano;maziwa,asali,habatsouda,juisi,shayiri n.k.kutegemea na maradhi unayotaka kuyatibu na kwa ushauri/maelekezo ya daktari.

Jumatano, 27 Novemba 2013

IJUE HOMA YA INI(HEPATITIS B),JE UNAJUA INAUA WATU WENGI SAWA NA UGONJWA WA MALARIA DUNIANI ?


Hepatitis B(homa ya ini/selimundu)ni mojawapo ya magonjwa yaliyo katika kundi la magonjwa ya zinaa(STD).Baadhi ya magonjwa mengine yaliyo katika kundi hili ni;
1.Kisonono(gonorrhoea/gono)
2.Chlamydia
3.Kaswende(syphillis)
4.Human papilloma virus(HPV)
5.HIV/AIDS(ukimwi/upungufu wa kinga mwilini)
6.Hepatitis A,B,C
7.Herpes virus(malengelenge sehemu za siri/HSV)
8.Trichomoniasis
9.Bacteria vaginosis
10.Public lice(chawa kwenye nywele za kinena)
11.Chancroid nk.
Magonjwa mengi ya zinaa yanatibika lakini kuna baadhi ambayo hayana tiba ya uhakika kama HPV,hepatitisB na C na HIV.Mengine yameanza kuwa sugu kutokana na matumizi ya dawa za antibiotics bila mpangilio.Magonjwa hayo ni kama gono(gonorrhea),kaswende n.k.
Homa hii ya Hepatitis B inapewa uzito mdogo sana licha ya kuwa ni hatari kubwa.Hata hivyo wapo wengine ambao hawaufahamu ugonjwa huu.Kwa wanaoujua wanakiri kuwa ugonjwa huu unamadhara makubwa pengine kuliko saratani na ukimwi.Wataalam wanaeleza kuwa Hepatitis B(homa ya ini) ni ugonjwa unaoambukizwa kwa urahisi wenye madhara makubwa na uwezo wa kuambukizwa kwa wepesi kuliko ukimwi.
Kitaalam ugonjwa huu husababishwa na virus vya Hepatitis B(HBV)ambayo huathiri mfumo wa utoaji wa sumu mwilini.Robo tatu ya watu ulimwenguni yasemekana wameathiriwa kwa muda na homa ya ini na wengine milioni 350 wameathirika moja kwa moja.Takwimu zinaonyesha kuwa homa ya ini huua watu 600,000 kila mwaka sehemu mbalimbali ambayo ni sawa na idadi ya wanaokufa kutokana na malaria.Maradhi haya ya ini yanaelezwa kuwa yanaweza kusababishwa na kunywa kileo kupita kiasi au sumu inapoingia mwilini.Kutokana/kudhihirisha kuwa ugonjwa huu ni wa hatari sheria zimewekwa katika nchi mbalimbali ambazo zinamtaka kila raia mgeni anayetaka kuingia katika nchi husika kupata chanjo ya ugonjwa huu ili kuepusha maambikizi na kila anaye chanjwa hupewa kadi maalum ili kuthibitisha kuwa amechanjwa.Hatari kubwa ya ugonjwa huu ni namna ya uambukizaji wake ambapo unaposhika damu au majimaji ya mwili ikiwemo mbegu za uzazi unaweza kuambukizwa.
Wataalam wanaeleza ubaya wake kuwa unaweza kuambukizwa kwa kufanya ngono,kushika majimaji ya mwili wa mtu aliyeathirika ikiwa ni pamoja na damu,mate,machozi na mkojo.Shirika la afya duniani(WHO) linaeleza kuwa kirusi cha homa ya ini kinauwezo wa kuishi nje ya mwili wa binadamu kwa siku 7 na kwa wakati huo kirusi hiki kinaweza kusababisha maambukizi iwapo mtu hajapata chanjo.Watanzania wengi bila kujua wamekuwa wakiugua maradhi mbalimbali yanayosababishwa na homa ya ini bila kufahamu.Homa ya ini aina ya B inaweza kuua kimya kimya bila kuonyesha dalili zozote.
DALILI ZA UGONJWA WA HEPATITIS B/ HOMA YA INI
Dalili za ugonjwa huu huchukua muda mrefu kuonekana na zikionekana mgonjwa anakuwa tayari amekwisha athirika sana.Baadhi ya dalili hizo ni;
1.Uchovu/kuchoka kupita kiasi
2.Kichefuchefu
3.Mwili kudhoofika
4.Homa kali
5.Kukosa hamu ya kula
6.Kupungua uzito
7.Maumivu makali ya tumbo upande wa ini
8.Macho na ngozi huwa ya njano
9.Mkojo kuwa wenye rangi ya njano iliyokolea sana
10.Kuvimba tumbo katika hatua za mwisho
11.Kutapika
12.Kuharisha au kupata maumivu sehemu fulani ya tumbo.
NAMNA HOMA YA INI INAVYO AMBUKIZWA
1.Kujamiiana bila kinga.
2.Kunyonyana ndimi
3.Mama mwenye ugonjwa kumuambukiza mtoto wakati wa kujifungua
4.Kuchangia damu isiyo salama
5.Kuchangia vitu vyenye ncha kali kama;sindano,wembe n.k
6.Kuchangia miswaki
7.Majimaji katika mwili wa binadamu pia ni chanzo cha maambukizi
Ugonjwa usipotibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadae kifo.
NAMNA YA KUJIKINGA NI;
1.Chanjo
2.Kutumia kinga wakati wa kujamiiana au kuacha kabisa
3.Kuacha kuchangia vitu vya ncha kali kama sindano na wembe nk
4.Kuwa na mpenzi mmoja muaminifu
5.Kuacha kuchangia damu isiyo salama
6.Kuacha kunyonyana ndimi nk.
TIBA YA UGONJWA WA HOMA YA INI
1.Ugonjwa huu hauna tiba japo mgonjwa akiwahi hospitali atapatiwa dawa za kupambana na virusi hivyo ili kuvipunguza nguvu za kushambulia ini
2.Kupandikiza ini ambapo ini lililo athirika huondolewa na kuwekwa ini lingine japo ni vigumu kupata ini salama.
3.Wagonjwa waache kutumia pombe,madawa ya kulevya na vitu vingine vinavyochosha ini.
Ieleweke kwamba watu wengi wanaendelea kuambukizwa kwa kuwekewa damu yenye virusi hivyo hasa katika nchi ambazo hazina vifaa bora vya kuchunguza virusi hivyo katika damu.Virusi vya HBV vinauwezo mkubwa zaidi wa kuambukiza kulinganisha na magonjwa kama ya ukimwi na kaswende pamoja na magonjwa mengine ya zinaa.Hata kiasi kidogo cha damu yenye virusi hivyo kama ile inayobaki kwenye wembe inaweza kupitisha virusi hivyo na tone la damu iliyokauka kwa juma moja au zaidi inaweza kumuambukiza mtu virusi hivyo.
MADHARA YA HOMA YA INI;
Madhara mengi huweza kumkumba mtu aliyepata maambukizi ya homa ya ini kwa mfano;
1.Shinikizo la damu
2.Kuathirika ubongo
3.Kupooza sehemu za mwili n.k.
Katika kituo chetu cha LMTM HERBAL CENTRE ugonjwa huu ukiwa katika hatua za awali kabisa ambapo mgonjwa bado ana uwezo wa kula,ugonjwa huu unatibika kwa kutumia dawa aina ya LMTM-S32/J ambayo ni mchanganyiko wa miti ambayo hutumika kwa kunywa kulingana na ushauri wa daktari
USHAURI;
Tujenge tabia ya kukinga kwa chanjo,lishe nk badala ya kutibu maradhi mbalimbali kwani tiba ni gharama.Vilevile tuzingatie shauri mbalimbali tunazopewa na wataalam wa afya.

KWA USHAURI,TIBA NI LMTM CENTRE NDIO INAYOJALI AFYA YAKO.

Jumanne, 26 Novemba 2013

MADAWA MAPYA YA LMTM HERBAL CENTRE




Haya yafuatayo hapa chini ni baadhi ya madawa mapya yaliyopo katika kituo chetu cha LMTM HERBAL CENTRE yanayotibu magonjwa mbalimbali kulingana na tafiti mbalimbali;
1.LMTM-UK/03-dawa hii ni mchanganyiko wa mimea yenye uwezo mkubwa wa kutibu maradhi yafuatayo;
                                     a.kikojozi
                                      b.kupunguza uzito
                                      c.kuzuia mimba kutoka
Dawa hii ni ya kunywa kwa tiba ya magonjwa yote yaliyotajwa hapo juu kwa kufuata maelekezo na ushauri wa daktari kulingana na ugonjwa unaotaka kuutibu.
2.OLKARIA-Huu ni udongo unaotumiwa sana na jamii ya maa kwa ajili ya kuremba ngozi na kuondoa madoa katika ngozi.Pamoja na matumizi hayo katika tafiti zilizofanywa na kituo chetu tumegundua kuwa udongo huu una uwezo mkubwa wa kutibu maradhi kama ifuatavyo;.
                                       a.vidonda vya surua
                                        b.tetekuwanga
                                        c.kuharisha na kuhara damu
                                        d.kuondoa makovu na madoa
                                        e.kufanya ngozi kuwa nyororo
                                        f.kuondoa harufu na kukausha jasho mwilini
Kuhusu matumizi na maandalizi inategemea ugonjwa unaotaka kuutibu kwa kufuata maelekezo na ushauri wa daktari.
3.LMTM-KF/03-Ni dawa ya kunywa yenye uwezo wa kutibu;
                                         a.kifafa
                                         b.kuchanganyikiwa
                                         c.uvimbe ndani ya ubongo
4.LMTM/ATH/PE8-Ni mchanganyiko wa miti na asali inayotibu;
                                          a.pumu
                                          b.mafua na kikohozi kisichosikia dawa na inayoambatana na harufu ya damu kifuani
                                          c.vichomi na maumivu ya kifua
                                          d.mzio(aleji)
Dawa hii ni ya kulamba na dozi yake hutegemea ugonjwa unaotaka kuutibu kwa kufuata maelekezo ya daktari.
5.LMTM-SUP/ALC.17/012-Inatibu magonjwa yafuatayo;
                                            a.vidonda tumbo sugu
                                            b.magonjwa ya kwenye njia ya chakula
                                            c.moyo kujaa maji
                                            d.misuli kukakamaa
                                            e.kutoa sumu mwilini
                                            f.mifupa kupasua.
Imetengenezwa maalum kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa vidonda tumbo na ni ya kunywa.Kuhusu dozi na matumizi hutegemea ugonjwa unaokusumbua kwa kufuata maelekezo ya daktari.
6.LMTM-VIAG/04/MAT-Ni mchanganyiko wa matunda aina nne inayotibu maradhi yafuatayo;
                                           a.kuboresha manii
                                           b.nguvu za kiume
                                           c.kutoa sumu mwilini
                                           d.kulainisha mishipa ya damu na kufanya mzunguko wa damu kuwa mwepesi
                                           e.presha
                                           f.kuamsha hisia za tendo la ndoa(mhemko)
                                           g.kuongeza cd4
                                           h.kupunguza uzito
                                           i.kinga dhidi ya maradhi
7.LMTM/MKS/SUP-Ni dawa inayotibu matatizo mbalimbali kama;
                                           a.huchangamsha na kusafisha mishipa ya fahamu na ubongo(kunusa)
                                           b.kuongeza hisia,ashki na ladha ya tendo la ndoa kwa wanaume na wanawake
                                           c.huongeza matamanio ya tendo la ndoa na joto mwilini
                                           d.huwasaidia wanawake wasio na hisia au hamu ya tendo la ndoa kuwa nayo
                                           e.huwasaidia wanaume wanaowahi wakati wa tendo la ndoa kuchelewa
                                           f.hupunguza majimaji ya sehemu za siri za wanawake na kufanya sehemu hizo        kubana
                                           g.huondoa harufu mbaya sehemu za siri za wanawake hasa baada ya hedhi
Matumizi na matibabu hutegemea matatizo uliyonayo na ni daktari pekee anayetoa maelekezo.
8.LMTM-MN/01-OLTM-Huu ni utomvu utokanao na miti inayotibu;
                                           a.meno
                                           b.fizi na vidonda mdomoni
                                           c.kifua kikuu
                                           d.vidonda visivyopona
                                           e.maumivu ya kifua na kichomi kifuani
Kuhusu matumizi ni kama ilivyo katika maelezo tuliokwisha kutoa hapo juu.
9.LMTM-ORK/ROS-Dawa hii ni ya kupaka na ni mizizi ya mimea na mchanganyiko wa maji maalum inayotibu na kuongeza maumbile ya kiume hatakama ni madogo sana(hurefuka)

Jumatatu, 25 Novemba 2013

MAGONJWA YA ZINAA KATIKA PICHA


                       
                                                                  KASWENDE



MASUNDOSUNDO(GENITAL WARTS)

                                                     
                                                                      HERPS


                                                               
CHANGROID
                                         LYMPHOGRANUROMA VENEREUM

Jumatano, 30 Oktoba 2013

LOSILA MAASAI TRADITION MEDICINE CENTRE ;


Losila maasai traditional medicine kifupi chake ni (LMTM).Ni kituo ambacho kinachojishughulisha na tiba mbadala na tiba asili  ikiegemea zaidi tiba za kimasai ambazo ni miti ,wanyama,udongo,wadudu nk.Pia hutibu kwa kutumia vitu vya mila na desturi ya makabila mengine,halikadhalika matunda ,mbogamboga,ushauri n.k. Kituo hiki kimeanzishwa mwaka1997 chini ya MD dr.LL.LAYZZER akisaidiana na mfamasia mkuu dr.MRS.J.LAYZZER.Ili kuhakikisha kuwa kituo kinafanya kazi ipasavyo kimekuwa kikishirikiana na wataalam wengine katika utafiti na ugunduzi wa madawa mbalimbali kwa tiba mbalimbali.Baadhi ya wataalam hao ni kituo cha tiba asili kilichopo chini ya chuo kikuu cha tiba muhimbili na ofisi ya mkemia mkuu wa serikali.Yote hayo ni ili kuhakikisha kuwa dawa hizo zinafaa kwa matumizi ya binadamu na kwa ugonjwa husika.Pia kituo hiki kinatambulika na kimesajiliwa na wizara ya afya kwa cheti no;ILALA MC/DSM/00036/2012.Ofisi za kituo hiki zinapatikana Ilala Mchikichini mtaa wa usangu jijini Dar es salaam ambako ndio makao makuu.                                                                                                                                        Miongoni mwa madawa ambayo yameshafanyiwa utafiti na kuonekana kuwa na uwezo mkubwa katika tiba ya magonjwa husika ni;                                                                                                                                            1.LMTM/PA19/NZ-Dawa hii ni mchanganyiko wa mizizi ,majani,magome ya miti na mafuta iliyo gundulika kutibu magonjwa aina sitini(60) na ni yakupaka kulingana na ugonjwa ulipo katika mwili.Baadhi ya magonjwa yanayoweza kutibiwa na dawa hii ni,mkanda wa jeshi,fangasi za miguu,fangasi zilizo sehemu za siri,nywele kunyonyoka,saratani ya ngozi,kuumwa na wadudu,mba,ngozi kukauka,vidonda vibichi,mapunye,mashilingi,kucha kung'oka kutokana na fangasi(huota tena),muwasho na harara,mgolo(bawasiri),kusaidia uzalishaji wa sehemu ya juu ya ngozi(collagen)na kufanya ngozi kunawiri,kuondoa upele wa ndevu baada ya kunyoa,kuondoa mabaka,michirizi,makovu(inawafaa sana watu walio athirika na vvu)                                                                                                                                   2.LMTM/J19-Dawa hii ni mchanganyiko wa miti ambayo ni ya kunywa kwa kufuata maelekezo ya daktari kulingana na ugonjwa unaotibiwa.Baadhi ya magonjwa yanayo tibiwa kwa dawa hii ni kama;                                        a. Fangasi ya njia ya chakula,kansa ya koo,vidonda koo,vidonda tumbo sugu na vidonda na ukurutu mdomoni.                                                                                                                                                                 b. Uviimbe wa ndani ya kizazi,utumbo wa chakula na njia ya haja kubwa(bawasiri zote).                                                c. Magonjwa sugu ya zinaa eg. kisonono,kaswende na UTI.                                                                                          d. Magonjwa ya ini,bandama,kibofu na figo.                                                                                                    e. Kuondoa lehemu(cholestro)katika mishipa ya damu                                                                                               f. Kuondoa maumivu ya hedhi na hedhi kuvurugika                                                                                                              g. Kufungua tumbo lililofunga(kukosa choo)na mngurumo wa tumbo.                                                                          h. Magonjwa nyemelezi kwa wenye vvu.                                                                                                                    i. Kusafisha kibofu,mirija ya uzazi kwa akina mama.                                                                                                    j. Kuondoa maumivu ya viungo,misuli kukakamaa,maumivu ya nyonga,mgongo,shingo kukakamaa,maumivu ya mifupa,ganzi na miguu kuwaka moto.                                                                                                                  3.LMTM/E1/KH-Dawa hii kama zilivyo nyingine ni mchanganyiko wa miti inayotibu magonjwa yafuatayo;                       a. Minyoo aina zote                                                                                                                                                    b. hamu ya kula                                                                                                                                                          c. moyo kujaa maji,maumivu ya mifupa,homa ya vipindi,maumivu ya tumbo,miguu kuvimba,baridi yabisi,kuimarisha mifupa iliyozeeka na bandama.                                                                                                         d. Kuondoa sumu ya chakula,kuhara na kuharisha damu,kufungua tumbo lililofunga choo,amoeba,homa ya matumbo,maumivu ya kifua,kisukari,vidonda kooni na upele(kwa kutibu minyoo huchanganywa na asali kulingana na maelekezo ya daktari kulingana na umri na uzito wa mgonjwa)                                                          e. Upungufu wa madini joto,udhaifu wa mwili,viungo kukakamaa na pepopunda                                                      4.LMTM/11/CH-Ni mchanganyiko wa mimea na mafuta ambayo ni ya kuchua yenye uwezo wa kutibu maumivu ya viungo kama magoti,mgongo,kiuno,miguu kuwaka moto,ganzi,maumivu ya mishipa,baridi yabisi,misuli kukakamaa,maumivu ya nyonga,gauts,viungo vya mwili kuvimba na mifupa kupasua                                 5.LMTM-N5/BR-Ni dawa mchanganyiko wa asali na mimea inayotibu kwa uhakika magonjwa yafuatayo;            a. pumu                                                                                                                                                                          b. Maumivu ya kifua                                                                                                                                                   c. Kikohozi kisichosikia dawa na inayoambatana na harufu ya damu kifuani.                                                                           d. Kifaduro,vidonda mdomoni na vichomi vikali.                                                                                                       6.LMTM-LE/37/VIH-Inatibu                                                                                                                                    a. Inaongeza cd4 kwa wenye vvu kwa haraka                                                                                                               b. Magonjwa yote ya zinaa                                                                                                                                          c. Magonjwa yote nyemelezi kwa wenye vvu                                                                                                           d. Kifua kikuu                                                                                                                                                           e. Magonjwa ya ngozi,magonjwa ya ini,saratani,shinikizo la damu,matatizo ya mfumo wa fahamu,pumu,kisukari,hamu ya kula na kuongeza uzito                                                                                          f. Kusafisha kizazi,kibofu, figo na magonjwa ya moyo                                                                                                7.LMTM/N7/SUZ-Inatibu magonjwa yote ya zinaa na uzazi kwa kina mama wenye matatizo ya uzazi ambao viungo vyao vya uzazi havija athirika au kuondolewa                                                                                                         8.LMTM/J28/Z-Dawa hii inatibu;                                                                                                                          a. Malaria sugu                                                                                                                                                        b. Hamu ya kula                                                                                                                                              c. Maumivu ya viungo                                                                                                                                         d. Homa za mara kwa mara                                                                                                                                           e. Typhoid,amoeba na kushusha homa                                                                                                                                         f. Minyoo,tambazi ya mifupa na misuli,maumivu ya tumbo chini ya kitovu,miguu kuvimba magoti,chango,majipu na kuwaka moto                                                                                                                                   9.LMTM/V11/F1-Hii ni dawa ya kupaka ya kuongeza maumbile ya kiume.                                                                    10.LMTM/V10/F-Dawa hii inatibu;                                                                                                                a. Hamu ya kufanya tendo la ndoa                                                                                                                          b. Nguvu za kijinsia                                                                                                                                                    c. Maumivu ya mgongo na kiuno                                                                                                                                   d. Kuondoa mngurumo wa tumbo                                                                                                                       e. Kisukari na kukosa choo                                                                                                                                                     f. Kuongeza mbegu na kusafisha kibofu                                                                                                                           g. Magonjwa ya ini,bandama,maumivu ya kifua,pumu,malendalenda katika choo na moyo kushituka,uvimbe katika moyo,maumivu ya kifua usawa wa moyo na wasiwasi                                                                                                                                             11.LMTM/S32/J-Inatibu;                                                                                                                                 a. Saratani ya kizazi,kusafisha mirija ya uzazi na kutoa maji katika mirija hiyo                                                                                   b. Uvimbe wowote ndani ya mwili.                                                                                                                                                      c. Kurekebisha hedhi iliyovurugika hasa kwa waliowahi kutumia dawa za uzazi wa mpango                                               d. Saratani ya ini na kibofu cha mkojo                                                                                                                                                                        e. Figo na mawe katika figo                                                                                                                                                               12.LMTM/OLP/1/012-hUU NI MCHANGANYIKO WA MITI ISIYOKUWA NA MADHARA MWILINI INAYOTIBU MAGONJWA YOTE YANAYOMSIBU BINADAMU(KIMASAI OLP URUA)                                                                                                                                                                                    NB.MADAWA YOTE HUTUMIWA KWA MAELEKEZO YA DAKTARI KULINGANA NA UGONJWA UNAOKUSUMBUA.                                                                                                                          KWA TIBA,USHAURI,MAELEKEZO.TUWASILIANE KWA ANUANI ZIFUATAZO:                                                                                                                                                                                                                                                BOX.79289 DAR ES SALAAM                                                                                                                                                                                                                                                                                              FAX2EMAIL+255736601119                                                                                                                                                                        EMAIL:lmtmherbal@rocketmail.com

Jumanne, 17 Septemba 2013

MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(TIBA ASILI ZA KIMASAI): KASWENDE NI HATARI KULIKO MAGONJWA MENGINE YA ZINA...


MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(TIBA ASILI ZA KIMASAI): KASWENDE NI HATARI KULIKO MAGONJWA MENGINE YA ZINA...: Kaswende ni ugonjwa tishio linalosababishwa na bakteria wanaofahamika kama Treponema pallidum.Tofauti na magonjwa mengine ya zinaa ambayo hu...

KASWENDE NI HATARI KULIKO MAGONJWA MENGINE YA ZINAA EG UKIMWI NK.


Kaswende ni ugonjwa tishio linalosababishwa na bakteria wanaofahamika kama Treponema pallidum.Tofauti na magonjwa mengine ya zinaa ambayo huambukizwa kwa njia ya ngono zisizo salama,kaswende ni hatari zaidi kwani inaweza kuambukizwa kwa kugusana tu au kushirikiana mavazi,kushirikiana vyoo vya kukaa japo pia waweza kuambukizwa kwa kupitia ngono zisizo salama.
Katika hatua za awali vipele sehemu za uzazi au sehemu yoyote mwilini hujitokeza muda mfupi baada ya maambukizi ambavyo baadae hupotea vyenyewe bila kutibiwa.
 Kama ugonjwa hautatibiwa maambukizi huendelea kwa miaka yakishambulia mifupa,ubongo na moyo na kusababisha madhara mengine katika mfumo wa fahamu kama vile,homa ya uti wa mgongo,magonjwa ya moyo na kiharusi.
Kaswende wakati wa ujauzito ni hatari kubwa kwa kiumbe kilicho tumboni kama vile kusababisha kutoumbika vizuri yaani deformity na kifo.

(1)Katika makala yetu ya leo tutazungumzia madhara ya kaswende katika mfumo wa mishipa ya fahamu(Neurosyphilis)

Madhara ya ugonjwa wa kaswende katika mishipa ya fahamu hutokea miaka 10-30 baada ya mtu kuugua ugonjwa wa kaswende na ambaye hakupata tiba yoyote hapo awali.Madhara haya huonekana kwenye uti wa mgongo na kwenye ubongo.
Kuna aina nne za Neurosiphilis:
1.Isiyo na dalili(Asymptomatic)-katika aina hii mgonjwa anakuwa hana dalili zozote.Aina hii ndiyo huonekana sana kwa wagonjwa ambao hawakupata tiba hapo awali.
2.Ulemavu wa jumla(General paresis)-inayosababisha ulemavu wa jumla
3.Inayoshambulia tando za ubongo na mishipa ya damu(Meningovascular)
4.Inayoshambulia sehemu za chini za uti wa mgongo(Tabes dorsalis)
-General paresis husababishwa na kuathirika kwa ubongo na hivyo kuleta upungufu katika ufanyaji kazi wa ubongo(Impairement of mental function)
Aina hii pia huweza kutokea kwa wagonjwa wa kisonono(Gonorrhoea)

Dalili za general paresis ni kama ifuatavyo;
a)Kupungua uwezo wa kuzungumza(aphasia)
b)Kupungua uwezo wa kufanya maamuzi(impaired judgment)
c)Kutokuwa na uwezo wa kuhesabu kitu chochote
d)Kupungua kuhamasika(impaired motivation)
e)Kutokuwa na kumbukumbu ya vitu vilivyopita muda mrefu(loss of long term memory)
f)Kutokuwa na kumbukumbu ya vitu vilivyopita karibuni/muda mfupi(loss of short term memory or recent events)
g)Degedege
h)Kushindwa kutembea au kutumia miguu,mikono, na viungo vingine vya mwili
i)Mabadiliko ya kitabia na kihisia(personality changes)kama delusions,kuona au kusikia vitu visivyokuwepo(hallucinations)
j)Kukasirika kwa haraka(irritability)
k)Inapropiate moods
l)Low mood

Viashiria vya general paresis;
a)Mboni za jicho kuwa katika umbile ambalo si la kawaida
b)Mboni kushindwa kupepesuka(changes in pupil response)
c)Kupoteza uwezo wa kuhisi mgandamizo au mtikisiko katika ngozi(loss of sense of vibration or position)
d)Kushindwa kusimama wakati mtu amefunga macho(romberg test)
e)Kushindwa kutembea vizuri
f)Viungo vya mwili kuwa dhoofu
g)Matatizo ya kusahau.
-Dalili za meningovascular
a)Mboni kuwa ndogo
b)Kupooza kutokana na kuathirika kwa neva mbalimbali
c)Kuharibika mishipa ya damu mwilini
d)Kupooza upande mmoja wa mwili
e)Matatizo ya kumeza chakula
f)Degedege
g)Kupooza neva ya jicho(optic neuropathy)
h)Matatizo ya macho(chorioretinitis)
i)Uziwi
j)Vertigo


-Dalili za tabes dorsalis
a)Kutembea kwa shida
b)Mgonjwa kutembea huku ametanua miguu sana(wide based gait)
c)Kudhoofika viungo vya mwili
d)Kupoteza uwezo wa kuunganisha hisia na matendo fulani fulani katika mwili(loss of coordination)
e)Kuwa na hisia zisizo za kawaida mwilini kama vile;kujihisi vitu vinachomachoma(lightening pains)
f)Loss of reflexes

-Tiba ya Neurosyphlis;
Tiba ya aina zote nne za neurosyphlis huhusisha kwanza kutibu ugonjwa wa kaswende kwa kutumia dawa.Sisi LMTM CENTRE tunayo dawa inayotibu magonjwa yote sugu ya zinaa ikiwemo kaswende inayoshambulia mishipa ya fahamu iitwayo LMTM-N7/SUZ ambayo ni mchanganyiko wa miti isiyo na madhara yoyote kwa mtumiaji.Dawa hii ni ya kunywa kulingana na uzito na hali ya ugonjwa kwa ushauri wa daktari.
Kwa wale wagonjwa wasioweza kula,kuvaa nguo,waliopooza viungo,wasioweza kuzungumza watahitaji tiba mbalimbali kama;rehabilitation therapy,physical therapy,occupation therapy,speech therapy n.k.Kwa wale viziwi watahitaji vifaa maalum vya kuwasaisaidia kusikia (hearing aids)baada ya kuonana na daktari wa masikio,pua na koo.

Kumbuka kuwa ili kugundua aina ya ugonjwa ulionao ni lazima upate vipimo sahihi kulingana na ni ugonjwa gani unaotaka kuupima.Vipimo hivi hupatikana katika hospitali za rufaa na kwa ushauri na maelekezo ya daktari baada ya kupata historia fupi ya mgonjwa.Ikumbukwe kuwa ugonjwa wa kaswende umekuwa janga la kimataifa kwa kuwa sugu kwa madawa yaliyokuwa yakitumika kutibia hapo awali sawasawa na kisonono zote kwa sasa hazisikii dawa.Ni LMTM HERBAL CENTRE pekee yenye uwezo wa kuyatibu.

MAONI,USHAURI,TIBA TUWASILIANE;
fax2email+255736601119
PIA USIACHE KULIKE PAGE YETU YA LMTM HERBAL CENTRE

Jumapili, 11 Agosti 2013

MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(TIBA ASILI ZA KIMASAI): WANACHOSEMA WATAFITI KUHUSU ASALI KWA AJILI YA TIB...


MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(TIBA ASILI ZA KIMASAI): WANACHOSEMA WATAFITI KUHUSU ASALI KWA AJILI YA TIB...: Matumizi ya asali kama tiba kwa magonjwa mbalimbali ni kitu ambacho kinafahamika kwa karne nyingi zilizopita duniani kote.Vitabu vingi vya...

WANACHOSEMA WATAFITI KUHUSU ASALI KWA AJILI YA TIBA



Matumizi ya asali kama tiba kwa magonjwa mbalimbali ni kitu ambacho kinafahamika kwa karne nyingi zilizopita duniani kote.Vitabu vingi vya zamani vinazungumzia namna watu walivyokuwa wakitibiwa magonjwa mbalimbali kutokana na asali.Moja ya vitabu vya zamani ni pamoja na kuruani Tukufu ambayo Mwenyezi Mungu anaitaja asali kama tiba(an-nahi 16:68-69).Sasa hivi kuna makala za kisayansi zaidi ya 1500 zilizoandikwa zikielezea kuhusu uwezo wa asali katika kutibu magonjwa mbalimbali.Wafaransa na warusi ni watu wanaofahamika kufanya utafiti mkubwa katika maabara kuhusu uwezo wa asali katika kutibu magonjwa mbalimbali.
Asali inasadikika kuwa na vitu 18 au zaidi ambavyo ni muhimu katika kutibu mwili, na wanasayansi wanaendelea kugundua vitu vingine kila siku.Moja ya vitu hivyo ni Meltin ambayo ni kitu kinacholeta kinga(prevalent substance)katika kutibu maumivu (mara 100 zaidi ya madawa haya ya kemikali na yenye hydrocortisol).Pia ndani ya asali kuna Adopin ambayo pia ni muhimu katika kutibu maumivu.Katika asali kuna apamin,compound X,hyaluronidase,phospholiase AZ,histamine(inayotibu alleg)na kitu kiitwacho Mast Cell Degranulating Protein(MSSDR).Baadhi ya vitabu vinavyofahamika kuandikwa na watafiti kuhusu uwezo wa asali kutibu ni pamoja na kile cha Bees Don't Get Arthritis kilichoandikwa na Fred Malone na Bee Balance cha Amber Rose.Mtafiti mmoja anayataja maeneo matatu abayo asali inayatibu kirahisi kuliko tiba zingine kwa kunywa na kupaka.
Moja,anasema ni maumivu ya viungo na uvimbe.Anasema asali husaidia kutibu magonjwa ya rheumetoil na osteoarthritis kwa kuondoa maumivu na uvimbe.Magonjwa mengine ya minofu na misuli kama scleroderma yametibika kirahisi kwa asali.Pia mtafiti anasema matatizo mengine yasiyohusiana na viungo(joints)au misuli ,kama vile ukerative colits na hata athma,vinatibiwa kwa asali.Hili linawezekana kwa sababu ya uwezo wa asali wa kuchochea endegenous cortisol/kutokana na hypothalamus-pituitary-ardenal axis.
Mbili,mtafiti anasema ni uwezo wa asali kutibu majeraha yasiyopona muda mrefu (chronic injuries).Kwa kifupi majeraha,yakiwemo ya kuungua (bursits and tendonitis)yameonekana kutibiwa vizuri kwa asali kuliko dawa hizi zenye kemikali.Maumivu ya mgongo na shingo au maeneo mengine pia watu wanashauriwa kuyatibu kwa asali kabla ya kukimbilia madawa mengine.
Tatu,mapele na makovu (keloids and scartessine)yanatibiwa haraka kwa asali.Makovu hupotea na hata rangi huweza kupotea pia.Makovu ndani ya mwili kama vile kovu linalotokana na operesheni linaweza pia kupata ahueni kwa kutibu eneo la jeraha.
Mtafiti huyu anasema kwamba jinsi ya magonjwa kupaka asali katika eneo lenye matatizo inategemeana na ukubwa wa tatizo.Kama ni dogo yaweza kuwa mara mbili kwa siku au zaidi hadi mgonjwa anapopata nafuu.Kuna baadhi ya watu hupata mzio(allegy) kwa asali na hawa hushauriwa kuwa yellow jackets au wasps.Utafiti uliofanywa mwaka 1998 nchini India,ulionyesha mafanikio makubwa kuhusu kutibu vidonda,hasa vilivyotokana na kuungua.Katika utafiti huo asali mbichi ilionekana kufanya kazi hata zaidi ya dawa kama silver sulfadiazine.Watafiti wanasema kuwa majeraha yaliyokuwa yakitibiwa kwa asali yalipata ahueni haraka.Pia iligundulika kwamba jeraha linalotibiwa kwa asali halisababishi kuambukiza na maumivu huwa kidogo kwa mgonjwa.
Ukaja utafiti wa mwaka 1999 uliofanyika Yemen.Huu pia ulionyesha kuwa asali mbichi isiyochanganywa na maji ama sukari guru 'inatisha' katika kutibu majeraha yatokanayo na operesheni.Utafiti ulionyesha kuwa vidonda vya kawaida na hususa ni vya operesheni vya watu waliokuwa wakifungwa(dressing) kwa asali walipona haraka kulinganisha na wale waliotumia dawa za hospitali(standard antiseptic therapy).Watu wenye vidonda vya mshono waliotibiwa kwa asali,walipona kabisa kabisa kwa siku 11 tu wakati wale waliotibiwa kwa dawa hizi za hospitalini(antiseptics)iliwachukuwa zaidi ya siku 20.Miaka kadhaa iliyopita utafiti mwingine ulifanyika Israel nao ukaonyesha kwamba asali ni kiboko pia katika kutibu majeraha yaliyo wazi.Utafiti huoulifanywa kwa watoto ambao iligundulika kwamba watoto ambao vidonda vyaovilishindwa kupona baada ya kutibiwa kwa viuavijasumu(antibiotics)hadi kuhisiwa kwamba wana vidonda ndugu,ilichukua siku 21 tu vidonda hivyo kupona na kufunga kabisa.
Pia mwezi april mwaka 2000 gazeti la Nursing Times liliandika kwamba asali pia ilikuwa inatibu kwa haraka vidonda vitokanavyo na bakteria wanaoshambulia damu (serious bacteria blood/infection).Mgonjwa  mmoja mvulana mwenye umri wa miaka 15 alikuwa na madonda kadhaa kwenye miguu yake ambayo yalikuwa yamegoma kupona licha ya kutibiwa kwa umakini wote(intesive therapy)zaidi ya miezi tisa hospitalini kwa tiba ya kawaida(standard dressings).Baada ya kuamua kutibiwa kwa asali mbichi madonda yake yalianza kuonyesha mafanikio na baada ya wiki 10 tu akapona kabisa.Kutokana na utafiti huu,watafiti na bodi ya usajili wa madawa ya Australia ilipitisha matumizi ya dawa itokanayo na asali ya ''Medihoney'' kwa ajili ya matumizi ya nyumba kwenye vidonda na magonjwa ya kuambukiza.
Dawa hii inatokana na asali mbichi(crude unprocessed honey)inayopatikana kwenye misitu ya New Zealand.Kuhusu namna asali inavyotibu haraka vidonda ,imegundulika kwamba ina uwezo wa kuweka mpaka mkali ambao huzuia kidonda kutoshambuliwa tena na bakteria.Vilevile asali huweka mazingira ya unyevu kwenye kidonda ,hali inayowezesha chembe za ngozi kukua juu ya kidonda bila kusababisha makovu .Vilevile asali inasaidia kukua kwa minofu chini ya tabaka la ngozi.Pia ndani ya asali kuna kitu kinaitwa anti-inflammatory effect,ambacho kinapunguza maumivu kwa mgonjwa(tofauti na tiba zingine).Vilevile asali ina kitu ambacho kinasaidia kupambana na bakteria wanaoleta magonjwa kwa kuwa na kitu kinachoitwa hydrogen peroxide.Hii ni kwa mujibu wa Peter Molan,profesa mshiriki wa bailojia katika chuo kikuu cha Waikato,New Zealand na mtu ambaye ni mtaalamu wa tiba ya asali kwa vidonda.Lakini inasisitizwa kwamba asali ambayo ni nzuri kwa kutibu vidonda ni mbichi na si hizi zinazochemshwa ama kupitia viwandani na kuuzwa kwenye super markets.

KWA MAONI,MASWALI NA USHAURI TUWASILIANE KUPITIA;
fax2email+255736601119
email:lmtmherbal@rocketmail.com
NB:KWA WALE WANAOPENDA KUWASILIANA KWA SMS,FUNGUA SEHEMU YA UJUMBE MFUPI KATIKA SIMU YAKO KISHA ANDIKA NENO LMTM ACHA NAFASI,ANDIKA SWALI LAKO NA KISHA UTUME KWENDA NAMBA 15522 NA SWALI LAKO LITAJIBIWA.PIA USISAHAU KULIKE PAGE YETU NA KUTUANDIKIA KUPITIA www.facebook.com/lmtmherbalcentre
                                 USISUMBUKE LMTM IPO KWA AJILI YAKO

Jumapili, 28 Julai 2013

MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(TIBA ASILI ZA KIMASAI): MAAJABU YA ASALI KATIKA TIBA YA MARADHI MBALIMBALI...


MAASAI TRADITIONAL MEDICINE(TIBA ASILI ZA KIMASAI): MAAJABU YA ASALI KATIKA TIBA YA MARADHI MBALIMBALI...: Matumizi ya asali kama tiba kwa magonjwa mbalimbali ni kitu ambacho kinafahamika kwa karne nyingi zilizopita duniani kote.Vitabu vingi vya...

MAAJABU YA ASALI KATIKA TIBA YA MARADHI MBALIMBALI




Matumizi ya asali kama tiba kwa magonjwa mbalimbali ni kitu ambacho kinafahamika kwa karne nyingi zilizopita duniani kote.Vitabu vingi vya zamani vinazungumzia namna watu walivyotibiwa magonjwa mbalimbali kutokana na asali.Moja ya vitabu hivyo ni KURUANI TUKUFU ambayo Mwenyezi Mungu anaitaja asali kama tiba(AN-NAHL 16:68-69).Sasa hivi kuna makala nyingi zilizo andikwa zikielezea kuhusu uwezo wa asali katika tiba ya magonjwa mbalimbali.Warusi na Wafaransa wanafahamika sana katika kufanya utafiti katika maabara kuhusu uwezo wa asali katika tiba mbali na Kuruani Tukufu kuna baadhi ya vitabu vingine vinavyofahamika kuandikwa na watafiti kuhusu uwezo wa asali katika tiba.Moja kile cha BEES DON'T GET ARTHRITIS CHA FRED MALONE NA BEE IN BALANCE CHA AMBER ROSE.
Leo tuangalie tiba ya asali na mdalasini na namna ya kuitumia kutibu maradhi mbalimbali(asali tunayoizungumzia hapa ni asali safi mbichi.)
BAADHI YA MARADHI YANAYOTIBIWA KWA ASALI NA MDALASINI NI KAMA IFUATAVYO:
1.UGONJWA WA VIUNGO/MAUMIVU NA UVIMBE(ARTHRITIS)
-Chukua maji kiasi vuguvugu na ongeza mdalasini (unga kijiko cha chai na asali vijiko 2 vya chakula na kuchua sehemu zenye maumivu)
-Vilevile waweza kutengeneza kikombe kimoja cha chai kwa kuweka kijiko kimoja cha unga wa mdalasini na kuongeza asali vijiko viwili vya chakula na kisha kunywa ikiwa ya moto kutwa mara mbili(asubuhi na jioni)
2.KUKATIKA KWA NYWELE(HAIR LOSS)
-Asali ikichanganywa na mdalasini na mafuta vuguvugu ya olive hutia kichocheo maridhawa cha kuotesha nywele.
-Tumia mchanganyiko huo vuguvugu kwa kupaka na kusugua kichwani na acha kwa dk 15 kisha uoshe.
3.UKUNGU WA MIGUU(FUNGUS)
-Changanya kijiko cha chakula cha asali na vijiko viwili vya chai vya mdalasini na acha kwa muda wa nusu saa kisha safisha .(rudia hivyo mpaka upone)
4.MAAMBUKIZI KWENYE KIBOFU CHA MKOJO(BLADDER INFECTION)
-Changanya maggy ya maji vuguvugu na vijiko2 vya chai vya mdalasini na kijiko1 cha asali huondoa bakteria kwenye kibofu.
5.MAUMIVU YA JINO(TOOTHACHE)
-Changanya sehemu tano za asali na sehemu moja ya mdalasini na dondoshea kwenye jino linalouma hadi maumivu yatakapotoweka.
6.VIDONDA VITOKANAVYO NA MAGONJWA YA KULALA KWA MUDA MREFU(BED SORES)
-Paka saladi iliyochanganywa asali na mdalasini.Vilevile tumia chai ya roseberry nyekundu kwa kuondoa maumivu makali ya canker sores/bed sores.
7.LEHEMU(CHOLESTRAL)
-Changanya asali safi mbichi vijiko2 vya chakula na unga wa mdalasini vijiko2 vya chakula na kikombe cha chai cha maji ya moto na unywe kutwa mara 3
8.MAFUA(COLDS)
-Tumia mchanganyiko wa kijiko 1 cha chakula cha asali vuguvgugu na robo kijiko cha unga wa mdalasini kuondoa chafya na kuvimba koo.
9.UGUMBA(INFERTILITY)
-Asali inaaminika kuamsha hamu ya mapenzi.Kwa wapenzi. wa jinsia zote wanashauriwa kunywa walau vijiko 2 vya chakula kila siku kabla ya muda wa kulala..Mdalasini imetumika muda mrefu katika dawa za kichina na kihindi kuongeza uwezo wa uzazi kwa akina mama wenye kuhitaji kuzaa
-Changanya mdalasini na kiasi cha asali na kufanya mgando (paste)na upake kwenye fizi na meno na kuacha inyonywe na kuingia mwilini taratibu na hii ni kwa akina mama wasio na sababu za kimsingi za kuwakosesha kuzaa.
10.MCHAFUKO WA TUMBO(STOMACH UPSET)
-Asali kwa muda mrefu imetambulika kama dawa ifaayo kuondoa mchafuko wa tumbo na kichefuchefu.Ongeza kiasi kidogo cha mdalasini na asali pia hupunguza maumivu yaletwayo na vidonda vya tumbo.
11.GESI(ACID)
-Kula asali pamoja na mdalasini kuondoa mchafuko wa tumbo na utumbo uletwao na gesi(acid)huu ni uchunguzi ulio fanywa na Japan na India
12.UGONJWA WA MOYO(HEART DISEASE)
-Unaweza kukinga kupata ugonjwa wa moyo na kuzuia mkusanyiko wa mtandao wa mafuta kwenye mishipa ya damu kwa kula asali na mdalasini mara kwa mara kwa kupakaa kama jam wakati wa kula mkate wa ngano wenye nyuzinyuzi nyingi iliyopakwa kijiko 1 cha chakula cha mchanganyiko huo(asali na mdalasini) kila siku
13.SHINIKIZO LA DAMU(H/B/P)
-Shinikizo la damu pamoja na matatizo yaambatanayo na maumivu ya kifua na kizunguzungu yalitoweka kutoka kwa wagonjwa wengi wiki chache tu baada ya upata dozi ya mara kwa mara ya asali iliyochanganywa na mdalasini.
14.KINGA YA MWILI(IMMUNE SYSTEM)
-Kinga yako ya mwili itaongezeka mara tatu zaidi ikiwa utatumia mara kwa mara asali na mdalasini kwa pamoja.Utafiti unaonyesha kuwa hazina  kubwa ya vitamini(virutubisho),madini pamoja na mchanganyiko wa mdalasini na asali iondoayo magonjwa na kinga itolewayo na chembechembe nyeupe za damu husaidia kuzuia magonjwa pamoja na kuharibu vimelea(virus)na bakteria.
15.UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME(UHANITHI/IMPOTENCE)
-Asali ina historia ndefu ya kuamsha nguvu ya uume pamoja na kuwa dawa madhubuti ya kuponyesha uhanithi kutokana na uwezo wake kama kiamshaji/chaji.Asali ilipigwa marufuku kwa makasisi katika baadhi ya dini za mashariki za dunia.Watafiti wa kiaustralia waligundua kwamba asali inauwezo wa kupelekea mwili kutoa homoni mbalimbali kama ilivyo mdalasini.
-Katika Afrika na dunia ya kusini mabaharia wamekuwa wakipaka asali katika sehemu zao za nje ya uume ili kuongeza nguvu ya kufanya mapenzi.
16.KUTOKUCHAGULIWA KWA CHAKULA(INDIGESTION)
-Kula vijiko 2 vya asali iliyonyunyiziwa mdalasini kabla ya mlo huondoa kiungulia na wataalam wanasema asali husaidia kutolewa kwa juisi zinazotumika kuchaguliwa kwa chakula tumboni na mdalasini unaongeza kasi ya kuchaguliwa kwa chakula.
17.FLU(INFLUENZA)
-Tafiti  moja ya Kihispania imethibitisha kwamba aina ya dawa iliyopo katika asali ni dawa moja asilia ya ajabu ambayo huharibu vimelea(virus)waletao flu.
18.KUONGEZA UMRI WA KUISHI(LONGEVITY)
-Unaweza kuishi hadi miaka 100 na kufurahia maisha ya afya na madhubuti kwa kunywa kila siku kikombe baridi cha chai ya mdalasini na asali.Kutengeneza kinywaji hiki kitamu weka vijiko 4(vikubwa)vya mdalasini na vijiko 4 vya asali,vikombe 3 vya maji na koroga kwa dk 10 kisha kunywa robo kikombe mara 3 au 4 na hivyo utakuwa na kinywaji kingi.
19.KUONDOA CHUNUSI(PIMPLES)
-Changanya vijiko 3 vikubwa vya asali na kijiko 1 kikubwa cha mdalasini na pakaa kwenye chunusi.Uwezo wa asali wa kuua bakteria unafanya uso kuwa wa kawaida katika muda wa wiki 2.
20.KUUMWA NA WADUDU(WASHA WASHA WENYE SUMU)
-Changanya asali na mdalasini kisha pakaa moja kwa moja kwenye sehemu zilizoathirika na rudia tena hadi uvimbe uishe.
21.MADHARA YA NGOZI(INFECTIONS)
-Fanya kama ilivyoandikwa namba ishirini hapo juu.
22.KUPUNGUZA UZITO.
-Waweza kufurahia vyakula vyote unavyovipenda kuwa na afya nzuri na kupunguza uzito wa mwili ambao hauhitajiki kwa kula chakula chenye nguvu na ladha nzuri kilichojaa vitu muhimu viwili ambavyo ni asali na mdalasini.
-Unachohitajika kufanya ni kuhakikisha unavitumia vyote kwa kiasi katika mapishi yako.Vilevile wataalam wanasema unaweza kuondoa mabonge ya uvimbe wa nyama nyama nje ya mwili kwa kuanza siku yako kwa kutumia vijiko 2 vikubwa vya asali na kijiko 1 cha mdalasini.Rudia mchanganyiko huo kabla ya kulala.Wataalam wamethibitisha kuwa inapunguza hamu ya kula na kuleta joto mwilini.
23.SARATANI(CANCER)
-Utafiti uliofanyika huko Australia na Japan umeonyesha kuwa asali ina uwezo mkubwa katika tiba ya magonjwa kwa anaetumia madawa ya kutibu saratani.Katika tafiti iliyofanywa kwa wagonjwa waliokuwa wanaugua saratani ya mifupa na utumbo ambao walikuwa wanatumia kila siku dozi ya asali na mdalasini walionyesha kupata nafuu maradufu kuliko wale waliokuwa wanatumia madawa ya kutibu saratani peke yake.Dr.HIROKI OWATA alisema waliwapa mchanganyiko wa asali na mdalasini kijiko kimoja kutwa mara 3 kwa mwezi 1 na wengine waliendelea kama kawaida.
24.KUONDOA UCHOVU(FATIQUE)
-Uko ushahidi kwamba sukari asilia iliyopo katika asali inauwezo wa kuongeza nishati mwilini.Zikitumika ipasavyo sukari hii inaweza kuwasaidia wazee na wengine wanaosumbuliwa na uchovu.Wataalam wanapendekeza kuchanganya nusu kijiko cha asali katika nusu kikombe cha maji yaliyonyunyiziwa mdalasini kunywewa masaa mawili baada ya kuamka.Rudia kunywa saa 9 alasiri wakati nishati(nguvu)inapoanza kuisha kufuatia ushauri wa dr.MILSTON ABBOZZA ambaye kazi zake kuhusu asali na mdalasini kama kichocheo cha nishati mwilini zinatambulika kimataifa.
25.KUVIMBA NYAYO(SOREFEET)
-Changanya asali na mdalasini katika maji vuguvugu na uchue miguu(nyayo)zilizoathirika baada ya siku ndefu ya kazi au baada ya mazoezi marefu.Rudia kila asubuhi na unawe nyayo kwa maji baridi na vaa viatu.
26.HARUFU MBAYA MDOMONI
-Chukua maji ya vuguvugu changanya na asali na mdalasini kisha sukutua kila asubuhi.Katia Asia ya kusini mashariki watu hula kijiko cha asali na mdalasini ili kuondoa harufu mbaya(halitosis).Wataalam wanaamini uwezo wa kuua bakteria uliopo kwenye asali ndio unaopigana na harufu mbaya toka mdomoni.
27.KUPUNGUA KWA USIKIVU(LOSS OF HEARING)
-Dozi za kila siku za asali na mdalasini hufanya hali ya usikivu kuwa makini kama ilivyogunduliwa na Wagiriki zamani.
-Kutumia mdalasini na asali kutakufanya uonekane kuwa na afya nzuri.
KWA MAONI,MASWALI NA USHAURI TUWASILIANE KUPITIA;
fax2email+255736601119
lmtmherbal.blogspot.com
email;lmtmherbal@rocketmail.com,
NA USISAHAU KULIKE PAGE YETU YA LMTM HERBAL CENTRE

Ijumaa, 26 Julai 2013

YAFAHAMU MADAWA MBALIMBALI YA MAGONJWA MBALIMBALI YANAYOPATIKANA LMTM CENTRE




LMTM-SUP/+3/PCL
-Ni dawa bora mpya mchanganiko wa mimea ya kuongeza maumbile ya kiume
INAPATIKANA LMTM CENTRE PEKEE

LMTM/MISKI
-Ni mafuta halisi yenye faida nyingi katika tiba mbadala
YANAPATIKANA LMTM CENTRE PEKEE



LMTM/PA19/OLV
-Dawa mchanganyiko wa miti na mafuta ya mzaituni inayotibu ,kuongeza nguvu za kiume,kuongeza maumbile ya kiume,bawasir,kansa ya ngozi,nywele pamoja na magonjwa yote ya ngozi.Dawa hii ni ya kupaka kulingana na ugonjwa unaoutibu na kwa maelekezo ya daktari.
Inapatikana katika ujazo wa cc100
INAPATIKANA LMTM CENTRE TU!










LMTM/ATH/PE8
-Dawa mchanganyiko wa asali na mimea mujarab kwa kutibu Pumu,maumivu ya kifua,kikohozi kisichosikia dawa na inayo ambatana na harufu ya damu kifuani,kifaduro,vidonda mdomoni,vichomi na mzio.
Hutumika kwa kulamba kulingana na ugonjwa unaoutibu kwa maelekezo ya daktari.
Inapatikana katika ujazo wa cc100
INAPATIKANA LMTM CENTRE TU!
     





LMTM/PA19/NAZ
-Ni kati ya madawa bora kabisa na iliyofanyiwa utafiti wa muda mrefu na kituo cha tiba asili chuo kikuu cha muhimbili.Dawa hii ni mchanganyiko wa miti na mafuta inayotibu kwa uhakika magonjwa zaidi ya 60 ya ngozi.Baadhi ya magonjwa hayo ni 1.saratani ya ngozi(inawafaa sana watu wenye ulemavu wa ngozi)
2.fangasi za vidole vya miguu,mikono,mapaja,mba,mapunye na mashilingi.
3.Mkanda wa jeshi
4.Vidonda vibichi na visivyopona kwa namna yoyote ile.
5.Majipu(hutumbuka na kukauka kwa haraka)
6.Chunusi,kucha kung'ooka kutokana na fangasi(huota tena)
7.Muwasho na harara
8.Mgolo/bawasir
9.Kurutubisha nywele na kuzuia kukatika,kunyonyoka na husaidia uzalishaji wa sehemu ya juu ya ngozi(collagen)na kufanya ngozi kunawiri.
10.Kuondoa sumu katika ngozi kwa walioacha mkorogo
11.Kuondoa fangasi sehemu za siri
12.Kuondoa upele wa ndevu baada ya kunyoa
13.Kuondoa mabaka,michirizi,makovu na kufanya ngozi kuwa laini na kung'aa(inafaa sana kwa watu wanaosumbuliwa na magonjwa nyemelezi baada ya maambukizi ya vvu n.k.
Inapatikana katika ujazo wa cc50.
Dawa hii ni ya kupaka kulingana na ugonjwa unaoutibu na kwa maelekezo ya daktari.
INAPATIKANA LMTM CENTRE TU!

LMTM/V11/CH
-Ni dawa ya kuchua mchanganyiko wa mafuta na mimea mujarab kwa kutibu maumivu ya viungo kama;gauts,magoti kuvimba,miguu kuwaka moto,maumivu makali ya mgongo na kiuno,kuteguka n.k.
Hutumika kulingana na ugonjwa kwa maelekezo ya daktari na iko katika ujazo wa cc50.
INAPATIKANA LMTM CENTRE TU!











NB:TAHADHARI DHIDI YA MATAPELI DAWA HIZI ZINAPATIKANA LMTM CENTRE TU NA ZINA ALAMA MAALUM YA SIRI.
KWA USHAURI,MAONI NA MASWALI TUWASILIANE KUPITIA:
fax2email+255736601119,
PIA UNAWEZA KULIKE PAGE YETU NA KUTUANDIKIA KUPITIA:
www.facebook.com/lmtmherbalcentre
lmtmherbal.blogspot.com