Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 30 Januari 2014

FAIDA ZA ALIZETI KATIKA TIBA MBADALA






Wengi tunafahamu kuwa mbegu za alizeti hutoa mafuta ya kupikia lakini umuhimu wa zao hili hauishii hapo bali pia ni tiba ya matatizo na magonjwa mbalimbali ya binadamu.Alizeti inauwezo wa kusaidia;
1.Tatizo la kufunga choo
2.Kurudisha mwili katika afya yake ya kawaida
3.Inaimarisha misuli hasa kwa wazee
4.Kuumwa miguu
5.Malaria-chuma majani kilo moja,maji lita mbili na nusu,chemsha na kisha loweka kwa dakika 15.Tumia kutwa mara tatu.
6.Shinikizo la damu la juu na chini
7.TB
8.Vidonda vya tumbo
9.Kansa ya damu n.k
-Kulingana na wataalam na watafiti wa tiba mbadala alizeti imetumika kwa miaka mingi katika tiba ikichanganywa na madawa,miti kutibu maradhi mbalimbali.Hivyo basi mbali na mafuta yatokanayo na mbegu za alizeti kutumika kama kiungo ni dawa yenye uwezo mkubwa ikichanganywa na mimea mingine kutibu maradhi sugu mbalimbali.

-Kwa matumizi na tiba wasiliana nasi kupitia;
-email lmtmherbal@rocketmail.com,na fax2email+255736601119
-Pia usisahau kulike page yetu ya lmtm herbal centre

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni